Natafuta Mpenzi asiyependa Ngono

Hivo ni vitu vidogo sana mkuu, mimi nimebase kwenye future ya wanao.

Na sijabase kwenye elimu tuu bali nimesema ruhusu wanao waexplore their full potential.
 
Nilitaka kuja ila baada ya kusikia hupendi ile statehe pendwa mmh nimerudi speed, kwahiyo utanioa nije kufua nguo na kupika tu? Aah mikito heavy ni muhimu. Kila rakheri mkuu
 
tafuta msenge au jamaa yako
 
Wadada mmetegwa hapo [emoji23][emoji23][emoji23]utakimbia na chupi
 
Huku JF ipo mibibi ya 60 na 70 hii hata mbususu zao Zina kutu hivo ngono sio kipaumbele Chao Bali wanatafta mtu wamfie mda wowote. Take care!
 
Sema huna nguvu za kiume za kutosha game mfululizo hata week tu.
 
Matokeo ya mastabesheni haya
 
Tena inatuna hasa.. tatizo nikisha anza kufikiria Malengo yangu na aina ya maisha niliyo ipanga kichwani mwangu akili yote inaanza kuwaza michongo ya pesa. na nikiwa napambana kwenye mambo ya bishara huwa siwazi ngono kabisa

Usiwaze sana maisha utakufa mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…