Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafute mwijaku sasa, unaweza ukakubaliana nae ukamuoa yeye mwenyeweMmmh mim sitaki hao wa ujiji
Nimecheka sanaHata ukiongea na mwijaku vizuri unaweza ukamuoa hana shida
Daah mwanang😅😅😅Mtafute mwijaku sasa, unaweza ukakubaliana nae ukamuoa yeye mwenyewe
KWani kwenu hamna wazee? Wanaoweza kukushauri namna bora ya kufanikisha jambo lako?Au changamoto ni nini?Je hata vijana hawapoo wenyekuweza kukushauri kwa maeneo hayo?Habari za mida wapendwa,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 nipo Kigoma mjini natafuta Binti wa umri kati ya 22-25 ambaye badae tukikubalia nitamuoa
Habari za mida wapendwa,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 nipo Kigoma mjini natafuta Binti wa umri kati ya 22-25 ambaye badae tukikubalia nitamuoa
Dunia imekuwa ya kidigitali, vijana na wazee asilimia kubwa wako huku.KWani kwenu hamna wazee? Wanaoweza kukushauri namna bora ya kufanikisha jambo lako?Au changamoto ni nini?Je hata vijana hawapoo wenyekuweza kukushauri kwa maeneo hayo?