Natafuta mpenzi kwa waliopo kigoma

Natafuta mpenzi kwa waliopo kigoma

Shilole yupo huko kwenye Nandy Festival. Kama unapenda mitinginya fursa hiyo.

Kama kamwili kako kadogo dogo na una njaa njaa nenda kajipitishe mbele yake na wewe ukatumike.
Ukianza kunawiri tu anakupiga chini.
Shilole nmekuona ila n mzinguaji mm sitaki kulelewa
 
Dunia imekuwa ya kidigitali, vijana na wazee asilimia kubwa wako huku.
Hivyo mleta mada yuko sahihi kuleta jambo lake huku.

"Kupanga ni kuchagua"
Asantee
 
Kabla haujapata ajira nakupagwa uko Kigoma kuna kabinti kalikuvumilia kwenye misoto yako huyo ndo anaye kufahaa.
 
Nenda kanisani Fau ni rahisi kupata mke hapa utakutana na ma afisa usalama ndio wamejaa humu wadada wote unao ona humu ni wanaume wanafanya kazi za usalama
Wanawake wako insta
Maafisa usalama na matajiri wamwaga vocha
 
Kabla haujapata ajira nakupagwa uko Kigoma kuna kabinti kalikuvumilia kwenye misoto yako huyo ndo anaye kufahaa.
Binti wa hvyo hakuwepo sijawahi kuwa na Binti wa hvo mkuu
 
Habari za mida wapendwa,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 nipo Kigoma mjini natafuta Binti wa umri kati ya 22-25 ambaye badae tukikubalia nitamuoa
Singo mama utaoa? Age ni 24
 
Hivi kuna mikoa huwa najiuliza kwa haraka haraka unakosaje mke.....maana wife materials wengi tu....wala hutumii nguvu kuwapata.
Kigoma
Tabora
Katavi
Tanga
Shinyanga
Iringa
Mara/Musoma
Lindi
Singida na Pwani ni kidogo sana......

mikoa niliyotaja ina viwanda vya wife materials.

Mikoa hatari kabisa, hakuna wife materials kiivo ni
Mbeya
Arusha
Mwanza
Dodoma
Kilimanjaro
Bukoba
Manyara
Dar
 
Back
Top Bottom