Natafuta mpenzi (ME)

Status
Not open for further replies.
Tatzo umekua muongo, hao maandishi siyo ya darasa la saba
 
Huyu sio Kalpana kweli? mbona DP zinafanana ??

halafu kalpana aliwahi kuja na uzi wa kumtafutia mtu mchumba, nadhani alikosa,

Je, ameamua kurudu kwa ID nyingine?

 
Inawezekana Rafiki yake alipata mtu sahihi, sasa kaona ni zamu yake [emoji41]
 
Huyo uliemqoute ni uzi wangu mimi kwani kuna nini? Au kuna mtu kaanzisha uzi mwingine kama huu wangu?...rafiki yangu ana miaka 31...alishapata wanaendelea mud tuu.. nawaombea heri..
Huyu kawek Dp yake hifanani na yangu angalia hata pozi na aina ya nguo..
 
umri umeninyima mke.
 
Binafsi nimependa sana maandishi yako uko straight sana afu unaonesha una confidence sana inbox ipo active kweli?
 
Mwandiko wa kiume kabisa huu ndo doubttttttttttttttt
 
Summary ya maelezo yako "unatafuta mtu wa kukuhudumia" maneno mengi ya nini?
 
Keta ghwighele kusofu, ighula nise tujhobhe kanunu nkikulu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…