SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,181
- 1,714
hii kitu hata mimi imenishangaza yaani ile paaaap after kujiunga nataka MmeAccount imefunguliwa tarehe 2/10/ 2017, na tarehe 3/10/2017 unataka mchumba
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]hii kitu hata mimi imenishangaza yaani ile paaaap after kujiunga nataka Mme
Ww c ndio waliokusema tapelHabari zenu,
naishi Dar es salaam , natafuta mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu.
WASIFU WANGU
-nina umri wa miaka 23.
-nina stashahada ya uongozi wa biashara kutoka T.I.A
-sina mtoto.
WASIFU WAKE
-Awe mwaminifu na mkweli.
-Asiwe na majivuno na majigambo.
-Asiwe na mke.
PM kwa mazungumzo zaidi.
Iko jukwaa gani hii?wapi mkuu soma hapa>>>Mrejesho yaliyonikuta kwa binti Rosa ni tapeli kama matapeli wengine.
Wewe unataka mwenye kazi mkuu?Una kazi, maana naona umeweka tu elimu..??