Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaye?:
We umeshapata??
Muulize anapajua serena hotel?Ninaye....
Wewe unaye???
Muulize anapajua serena hotel?
Aggy utamwachia naniNimepungukiwa na sifa moja ya umri, sijui nifanyeje hapo.
Mkuu, hebu ni pm tuwasiliane vizuri.
Hahahaaa.... Siwezi mwachia yeyote Mkuu.Aggy utamwachia nani
Halafu mbona nilikuomba nikutoe out serena ukanichunia? Au kabanga alikuzuia?Kwanza napenda kuwashukuru ndugu zangu kwa maoni yenu juu ya hili swala. nadhani tatizo letu kubwa hasa nchi maskini ni kuchanganya maswala haya mawili:- Siasa na Uchumi.
Hata kama wenzetu nchi zilizoendelea wao huchanganya basi utakuta siasa huingizwa tu pale panapoonekana kuna faida kwao ya kiuchumi. Uchumi ndio sura ya nchi, uchumi ndio kiwiliwiwli na na roho ya nchi kwa hiyo maamuzi yote ya siasa lazima yawe ktk kuijenga afya ya taifa na sio kinyume..
Ni kosa kubwa kuwa walafi yaani hatuchagui kinachoingia mwilini mwetu na pia ni kosa kubwa kutokula chakula bora (chenye nutrition) kwa sababu ya imani inayotokana na dhana.
Poloz,
Nakubaliana na wewe, binafsi swala la ajira lina uzito mkubwa sana kwa nchi yetu. na kulingana na mfano mdogo wa mwili hapo juu, sidhani kama kati yetu kuna mmoja wetu anayeweza kuwepo hapa na kuyazungumzia haya kama hana kazi! Ni matokeo ya hizo ajira tumeweza kuchagua nini tunachotaka kula ama kuujenga mwili wetu kwa chakula cha aina gani?.... chaguo la chakula halikutangulia kabisa mfuko wetu..yaani mapato yetu.
Kuna mbinu nyingi sana ambazo nashindwa kuelewa kwa nini viongozi (siasa) na wataalam (wachumi) wetu wameshindwa kabisa kuyatatua maswala haya kulingana na mazingira yetu. Sidhani kama elimu yao imeishia ktk kapu la taka na sasa kinachotumika ni ulafi na ubinafsi.
hata hivyo nitazidi kuchangia zaidi mada hii kila tunavyozidi kusonga mbele maanake mwanga wa mwenge wetu wa uhuru bado upo isipokuwa tunaupuuza na kutumia artificial theories ktk pango hili lenye kiza - Utandawazi.
Ulivyo mweusi jamaniiii...kasema anataka kitu white halafu mrefu. Wewe ni mfupi best.
jambilo huyu bwana ni sawa na paka..Utampa maziwa nasamaki masaa 24 lakini bado atakimbiza panya tu...Mwache arukeruke huku akitulia atantafuta!Aggy utamwachia nani
Dont be a girl who needs a man. Be the girl a man need ✔