Natafuta mpenzi wa kike atakayenikubali katika hali yangu duni

Natafuta mpenzi wa kike atakayenikubali katika hali yangu duni

Sina kazi,sina pesa, sina msichana wala mke ila nina hofu na Mungu na nataman sana kupata mwenza kikwanzo kazi sina.

Elimu form 6 naishi kucheza mpira ndondo wanaita, na kuwa kibarua wa fundi wa kujenga nyumba umli 28 nahitaji mwenza atakaye kubali kuwa na mimi awe serious mimi ni half cast ila sina kigezo cha kuchagua mke muhimu awe ana mapenz na amechoka ujana na awe na hofu ya Mungu la pili awe tayari kucheki afya. Ila sina hela nasisitiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah ungesubir tuh mbk uduni uishe mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaha, daaah[emoji23][emoji23][emoji23]
mkuu ukiwa maskini lazima uwe na hofu ya MUNGU maana akikuchukua utaenda kumweleza nn ulichofanya Duniani ? maskini wote lazima hofu iwajaee. ila pole kwa yote maana hali duni kila mmoja kwa nafasi yake. itakuwa ni muujiza wa kipekee sana kama kuna mwanamke atakayejitokeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hakuna mwanamke anaependa shida
mkuu ukiwa maskini lazima uwe na hofu ya MUNGU maana akikuchukua utaenda kumweleza nn ulichofanya Duniani ? maskini wote lazima hofu iwajaee. ila pole kwa yote maana hali duni kila mmoja kwa nafasi yake. itakuwa ni muujiza wa kipekee sana kama kuna mwanamke atakayejitokeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maneno yako ndio yananifanya niendelee kuwa boya, ngoja nifanye maamuzi magumu

Sent using Jamii Forums mobile app
Your my light, im your shadow bebe aint never letting you go mamito. Usinfanye nikakuja kuku Quarantine for a week. You know whatsup when im all on that hanky panky business mi lovelitaa😍😍😍
 
Back
Top Bottom