uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Akichelewa nakuja hahah nimemiss kuitwa baby
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akichelewa nakuja hahah nimemiss kuitwa baby
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akichelewa nakuja hahah nimemiss kuitwa baby
Hela huna unataka ukampime mtu ukimwi(joke)......
Nipo hapa kama upo tayari tuungane nikupeleke shambani ukasimamie mashamba ya vitunguu.... Tutainuana kibabe
Sent using Jamii Forums mobile app
Muarabu na mngazijaNakuja mkuu, tutakula hata bamia muhimu upendo tu, ila half cast wa wapi na wapi, au wa kinyakyusa na kingoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok nakuja mkuu, hata tupate watoto mahalf cast pia, mama yaani mimi ni halfcast wa kihehe na msukuma[emoji3]
Usijekuwa Mkulima Kama Yule Anayetusumbua Tanzania Kwa Kukamata Ndege ZetuMimi ni mkulima mzalendo.
Unifungulie pm sasa nijisogeze haha
Daaah ungesubir tuh mbk uduni uishe mkuuSina kazi,sina pesa, sina msichana wala mke ila nina hofu na Mungu na nataman sana kupata mwenza kikwanzo kazi sina.
Elimu form 6 naishi kucheza mpira ndondo wanaita, na kuwa kibarua wa fundi wa kujenga nyumba umli 28 nahitaji mwenza atakaye kubali kuwa na mimi awe serious mimi ni half cast ila sina kigezo cha kuchagua mke muhimu awe ana mapenz na amechoka ujana na awe na hofu ya Mungu la pili awe tayari kucheki afya. Ila sina hela nasisitiza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tuliza wenge basi mama, half cast mwitu ww🤣🤣🤣Ok nakuja mkuu, hata tupate watoto mahalf cast pia, mama yaani mimi ni halfcast wa kihehe na msukuma[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ukiwa maskini lazima uwe na hofu ya MUNGU maana akikuchukua utaenda kumweleza nn ulichofanya Duniani ? maskini wote lazima hofu iwajaee. ila pole kwa yote maana hali duni kila mmoja kwa nafasi yake. itakuwa ni muujiza wa kipekee sana kama kuna mwanamke atakayejitokeza.
Daah hivi nastahili kuendelea kuwepo?Hebu tuliza wenge basi mama, half cast mwitu ww[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mkuu ukiwa maskini lazima uwe na hofu ya MUNGU maana akikuchukua utaenda kumweleza nn ulichofanya Duniani ? maskini wote lazima hofu iwajaee. ila pole kwa yote maana hali duni kila mmoja kwa nafasi yake. itakuwa ni muujiza wa kipekee sana kama kuna mwanamke atakayejitokeza.
Mama u got a special place! Pengo lako haliwezi kuwa na Spea.
Khantwe mubebe unajua jinsi gani uanikonga mtima wange. You are too pretty and im keepin in real with u
Haya maneno yako ndio yananifanya niendelee kuwa boya, ngoja nifanye maamuzi magumuMama u got a special place! Pengo lako haliwezi kuwa na Spea.
Your my light, im your shadow bebe aint never letting you go mamito. Usinfanye nikakuja kuku Quarantine for a week. You know whatsup when im all on that hanky panky business mi lovelitaa😍😍😍Haya maneno yako ndio yananifanya niendelee kuwa boya, ngoja nifanye maamuzi magumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh haya babe nitafanyaje tena ndio nimeshakufa na kuozaYour my light, im your shadow bebe aint never letting you go mamito. Usinfanye nikakuja kuku Quarantine for a week. You know whatsup when im all on that hanky panky business mi lovelitaa[emoji7][emoji7][emoji7]