Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Alapyuuu chwit bae😘😘
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alapyuuu chwit bae😘😘
Kila la kheri inamsaidiaje ? nilidhani una comment positive !!Kila la kheri mkuu
Hayo maneno ya dharau, kwa hiyo kama hana hela ndio hatakiwi kumtaka mtu akapime ??, nimeshangaaHela huna unataka ukampime mtu ukimwi(joke)......
Nipo hapa kama upo tayari tuungane nikupeleke shambani ukasimamie mashamba ya vitunguu.... Tutainuana kibabe
Sent using Jamii Forums mobile app
Y bbe
Amesema joke au huelewi maana ya joke?Hayo maneno ya dharau, kwa hiyo kama hana hela ndio hatakiwi kumtaka mtu akapime ??, nimeshangaa
Leta feedback, kuna mtu anaitwa financial alisema anakuja, Je, alitokea kweli ?.Sina kazi,sina pesa, sina msichana wala mke ila nina hofu na Mungu na nataman sana kupata mwenza kikwanzo kazi sina.
Elimu form 6 naishi kucheza mpira ndondo wanaita, na kuwa kibarua wa fundi wa kujenga nyumba umli 28 nahitaji mwenza atakaye kubali kuwa na mimi awe serious mimi ni half cast ila sina kigezo cha kuchagua mke muhimu awe ana mapenz na amechoka ujana na awe na hofu ya Mungu la pili awe tayari kucheki afya. Ila sina hela nasisitiza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sisi wanaume hatupendi shida. Ila ndo hivyo hatuwezi kujikataa wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwann usiandike kitabu kabsa uite "Penzi la Fukara"?Penzi la fukara!
Hao ndio wale wanaleta masiharaLeta feedback, kuna mtu anaitwa financial alisema anakuja, Je, alitokea kweli ?.
Lazima ushangae sababu akili yako imeshindwa kukuonesha nimeandika neno utani kwenye mabanoHayo maneno ya dharau, kwa hiyo kama hana hela ndio hatakiwi kumtaka mtu akapime ??, nimeshangaa