Anne Maria
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 399
- 98
Wataka kulelewa? na hiyo age group hawaingii humu
Wataka kulelewa? na hiyo age group hawaingii humu
jamani jamani kwani kasema nani wanakaribia kufa hayo si ya Mungu kupanga,, teh teh teh teh but ngoja nifate ushauri wako nikawasake kanisani.... kweli tumetofautiana kiukwel kutendwa nadhani kila mtu ashawahi jamani ni interest tuuu bidadawatafute kanisani...maana huo umri ni maungamo kwa kwenda mbele....kweli wanawake tuko tofauti........au ushatendwa sana weye?:target:
Nani kakudanganya?
kulelewa si kubaya pia ila nataka kutulia zaidi na mzee wa ukweeel
huwa hawaingii kwanini jamani,,, basi ngoja nikatafute tuu kwingine
Wataka kulelewa? na hiyo age group hawaingii humu
watafute kanisani...maana huo umri ni maungamo kwa kwenda mbele....kweli wanawake tuko tofauti........au ushatendwa sana weye?:target:
Weka picha yajo.
Anne Maria ... avatar yako ... !!! Niambie kidogo kuihusu ... then you will have ma word!!
Wazee hawanaga tabia ya kuwastress wenzao,full kurelax,all the best..
Wasikukatishe tamaa Anna, niko hapa.... angalia PM, yaani umenifurahisha kwa kuataka kazee kanene kafupi kama mimi:A S 41:
age wngi ni wazee wa CCM,na blog yao kubwa ni "michuzi".Labda kaposti huku au aandike kwnye gazeti la uhuru.