Natafuta mpenzi wa miaka 50-60

Natafuta mpenzi wa miaka 50-60

nina miaka 28
chubby 80kgs
urefu wangu 160cm
maji ya kunde
nimeajiriwa na NGO
napenda mzee kuanzia miaka 50-60 ambaye hana mke(mjane) awe na watoto wakubwa na wajukuu pia ni sawa tuu, kawe kanene kafupi, au mwembamba mrefu mweusi mweupe maji kunde vyovyote tuu sawa kwangu
napenda tufurahie maisha pamoja, nimpikie, nisali nae, tuongee maisha na kufurahia pamoja
karibuni sana...
NB kupima afya muhimu!!!!

Ushawasiliana na babu? Nishaku PM number yake na email adress.
 
duduwasha asante ntakutafa ila hilo jin lake ni tata teh teh teh teh!!!!!!!!
Picha yake ndio hiyo hapo huyo aliyesimama kati kati

masudi.jpg



Hapo kapozi peke yakes....






Vigezo na Masharti vyote anavyo na anazingatia... Nirushie namba yako nimpelekee
 
Kapo kababu kangu pande za tanga kanazungusha ball balaa,ngoja nikapigie KLOSI!
 
Back
Top Bottom