Ha ha ha ha unanjaza enhee nikipgwa za uso nahamia kwakoC ndo maana nakufagiliagaaaaa.... Aya basi endelea n shunie....
Co kiiivo ww.... Apeleke njaa zake kuleNyie wanaume masingle umu mkuje... Kipepeo uyo kajitokeza
Check me [emoji395]Habarini za asubuh wandugu! Kwa yeyote mwenye hitaji km langu naomba tuwasiliane pm.mimi ni k age btn 26 -28. Nipo Dar kabila mchaga dini christian.
Mwanaume ninayemtaka awe n.a. age at least kuanzia 30 and above awe n.a. shughuli rasmi ya kumuingizia kipato n.a.awe andishi dar. Mengine tuongee pm
Mama wa Fursa, ingekuwa ni vipindi vyangu vile. Aaaagh, ningeshamaliza mchezo. Sema sasa hivi nimezeeka.we nenda bana utuletee mrejesho
Ha ha ha ha ha nahamia kwa unguja hapo juu nikishndwa na huko bas tenaAnakutisha.... Kaza uone
Katika ubora waowazee wa fursa [emoji23]
Wewe si ulianza kumfata shunie.... Awali ni awali tu. Usinigomanishe na shost angHa ha ha mbona kama unasukumizia mpira kwa mwenzio kwan wewe hutak
We ushaoa sasa huku unafanya nini?Na huku upo duh?
Uyo hakatai, anakutafuta wewe tuHa ha ha ha ha nahamia kwa unguja hapo juu nikishndwa na huko bas tena
We una kaz gan ya kukuingzia kpato au unatka uwe goal keeper ?Habarini za asubuhi wandugu,
Kwa yeyote mwenye hitaji kama langu naomba tuwasiliane pm. Mimi ni Ke age btn 26 -28. Nipo Dar kabila mchaga dini christian.
Mwanaume ninayemtaka awe na age at least kuanzia 30 and above awe na shughuli rasmi ya kumuingizia kipato na awe anaishi Dar.
Mengine tuongee pm
Ha ha ha ha unafikr piemu tunaenda enda kama mandez enheemafisi kama nyie nendeni pm mtakachokutana nacho mje mtuambie
Nakuombea na kama uko tayari nina list of the same requirementsHabarini za asubuhi wandugu,
Kwa yeyote mwenye hitaji kama langu naomba tuwasiliane pm. Mimi ni Ke age btn 26 -28. Nipo Dar kabila mchaga dini christian.
Mwanaume ninayemtaka awe na age at least kuanzia 30 and above awe na shughuli rasmi ya kumuingizia kipato na awe anaishi Dar.
Mengine tuongee pm
Toka uko.... Utadundwa, yupo umuumu shaur ykoNmefanyaje tena mama au hutak kuniweka waz watu wajue
Yan ndio maana moyo wangu ulikundokeamoo toka muda mrefu sanaMamaaaaa..... Nazijua sitaki uzirudieee