Natafuta mpenzi

Mhh, hapa kunamashaka hapa wewe unaonekana muongo muongo wewe.
Eti unasema umri wako ni miaka 26_28!!!? Inamaana huna uhakika na umri wako?
Mzinga wa nyuki Sikuzote haukumbatiwi.
 
kweli kwenye kipindi kama hiki nchi ikiwa kwenye hali ya sintofahamu

just kidding, utapata, wapo wengi sana humu
 
Una kazi yenye kipato cha uhakika? Maana kumiliki hao viumbe ni gharama mdogo wangu.
 
Check me [emoji395]
 
Wewe si ulianza kumfata shunie.... Awali ni awali tu. Usinigomanishe na shost ang
Ha ha ha wala siwagombanish shunie alitaka kuja mwenyewe kankuta huku kwa unguja anatafuta mpenza anaanza kuruka ruka
 
We una kaz gan ya kukuingzia kpato au unatka uwe goal keeper ?
 
Nakuombea na kama uko tayari nina list of the same requirements
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…