Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

Mhh, hapa kunamashaka hapa wewe unaonekana muongo muongo wewe.
Eti unasema umri wako ni miaka 26_28!!!? Inamaana huna uhakika na umri wako?
Mzinga wa nyuki Sikuzote haukumbatiwi.
 
kweli kwenye kipindi kama hiki nchi ikiwa kwenye hali ya sintofahamu

just kidding, utapata, wapo wengi sana humu
 
Una kazi yenye kipato cha uhakika? Maana kumiliki hao viumbe ni gharama mdogo wangu.
 
Habarini za asubuh wandugu! Kwa yeyote mwenye hitaji km langu naomba tuwasiliane pm.mimi ni k age btn 26 -28. Nipo Dar kabila mchaga dini christian.
Mwanaume ninayemtaka awe n.a. age at least kuanzia 30 and above awe n.a. shughuli rasmi ya kumuingizia kipato n.a.awe andishi dar. Mengine tuongee pm
Check me [emoji395]
 
Habarini za asubuhi wandugu,

Kwa yeyote mwenye hitaji kama langu naomba tuwasiliane pm. Mimi ni Ke age btn 26 -28. Nipo Dar kabila mchaga dini christian.

Mwanaume ninayemtaka awe na age at least kuanzia 30 and above awe na shughuli rasmi ya kumuingizia kipato na awe anaishi Dar.

Mengine tuongee pm
We una kaz gan ya kukuingzia kpato au unatka uwe goal keeper ?
 
Habarini za asubuhi wandugu,

Kwa yeyote mwenye hitaji kama langu naomba tuwasiliane pm. Mimi ni Ke age btn 26 -28. Nipo Dar kabila mchaga dini christian.

Mwanaume ninayemtaka awe na age at least kuanzia 30 and above awe na shughuli rasmi ya kumuingizia kipato na awe anaishi Dar.

Mengine tuongee pm
Nakuombea na kama uko tayari nina list of the same requirements
 
Back
Top Bottom