Natafuta/mpenzi

Naelewa mkuu, ila humu sio pakua serious SNA huwezi tafuta mwenza sahihi humu kila MTU ana stress zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwisho nilimalizia na just a jokes, sababu najua, nisehemu ya mizaha na ukiwa bored ukiingia humu lazima ucheke tu, tupo kuhave fun



Natafuta kiben ten - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa madam huoni kama ulitutesa kihisia. Sisi tunakuja pm tukijua tumepata wakutuweka mjini, tunaaga kabisa nyumbani,tunaaga marafiki zetu, tuna kuja pm na mahisia yote, chamkongo kishawasha moto wa ganzi kwenye mushedede mutukutu alafu wewe madam unatania kha! Nina haki ya kukushitaki kwa unyanyasaji wa kihisia.


Haya sasa nataka chenji ya chamkongo maana niliteseka wiki mbili kwajiri yako. Mushedede mutukutu anataka kudinya wewe unambania fatuma wako''


Fany kurudisha pesa ya mkongo. Nilikopa

Madam vivian original

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahah poleeee,
Jaman uwe unajikaza naww Trump

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…