Madam vivian original
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 503
- 997
Naelewa mkuu, ila humu sio pakua serious SNA huwezi tafuta mwenza sahihi humu kila MTU ana stress zake.Pole jamani.Usiwe unajiwekea kanuni za kudumu kwenye mambo ya kijamii,yapo tata sana.Humu kuna wezi na watu wema na wengine vuguvugu. Sasa kufanikiwa ama kutofanikiwa hicho ni kitu kingine,hata nje ya mtandao/JF bado changamoto ya kufanikiwa ni kubwa tu.
Sisi ndiyo binadamu.Viumbe watata
Sent using Jamii Forums mobile app