Natafuta mrembo wa kuzaa naye

Natafuta mrembo wa kuzaa naye

Mwanzo wa mahusiano na mkeo hamkuwa mmejadili kuhusu idadi ya watt(kama mkijaaliwa?)
Na je ? Unahisi hili unalotaka kifanya ni sahihi?(jitafakari sana kwa kina)
Siku mkeo akijua sio mwisho wa ndoa yako?
Okk ,, umejadili kwa kina na mkeo na kumshirikisha mpango wako(kama tishio kwamba kwq kuwq hutaki kunizalia nazaa nje) kisha na yeye akasemaje???
Hebu kabla ya kutekeleza wazo lako piga hasara na faida

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Mwanzo wa mahusiano na mkeo hamkuwa mmejadili kuhusu idadi ya watt(kama mkijaaliwa?)
Na je ? Unahisi hili unalotaka kifanya ni sahihi?(jitafakari sana kwa kina)
Siku mkeo akijua sio mwisho wa ndoa yako?
Okk ,, umejadili kwa kina na mkeo na kumshirikisha mpango wako(kama tishio kwamba kwq kuwq hutaki kunizalia nazaa nje) kisha na yeye akasemaje???
Hebu kabla ya kutekeleza wazo lako piga hasara na faida

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
kwa hulka ya kawaida ya binadamu, hamna mwanamke atakayekuruhusu kuoa au kuzaa nje! hili linawezekana kwa uwezo wa Muumba tu, hata kwa wenzetu wanaoruhusiwa kuoa wake zaidi ya mmoja, inapofika wakati mume anataka kufuata haya maandiko wake wengi huwa mbogo pia na hata ndoa kuvunjika.
 
Kwa mrembo aliye tayari natafuta dada wa kuzaa naye, awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 35. Mimi binafsi nina 38 na nina kazi nzuri ya kuweza kumhudumia mtoto. Nimeoa. Kwanini nataka mtoto nje ya ndoa? Mke wangu hataki kuzaa watoto zaidi ya wawili na kusema kweli naitaji na ninapenda kuwa na watoto wengi. Aliye tayari tafadhali aje inbox. Ninatagharamia mahitaji yote ya mtoto na mama yake.
Au unahitaji jinsia fulani uneikosa.. why mkeo akatae kukuzalia.. may be kaona kuna ualakin wa matunzo kwa familia. Then wataka zaa nje ya ndoa..
What next km ukitangulia mbele ya haki.. huyu mtoto wa nje utamwacha ktk wakati gani..???
 
uzi umefungwa rasmi, nimeshampata niliyekuwa namwitaji, walijitokeza wengi sana na nilipata kazi sana kuchuja, lakini namshukuru Mungu yameisha. AHSANTE SANA JAMII FORUM.
 
Back
Top Bottom