aly aly
Member
- Sep 6, 2019
- 83
- 65
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hulka ya kawaida ya binadamu, hamna mwanamke atakayekuruhusu kuoa au kuzaa nje! hili linawezekana kwa uwezo wa Muumba tu, hata kwa wenzetu wanaoruhusiwa kuoa wake zaidi ya mmoja, inapofika wakati mume anataka kufuata haya maandiko wake wengi huwa mbogo pia na hata ndoa kuvunjika.Mwanzo wa mahusiano na mkeo hamkuwa mmejadili kuhusu idadi ya watt(kama mkijaaliwa?)
Na je ? Unahisi hili unalotaka kifanya ni sahihi?(jitafakari sana kwa kina)
Siku mkeo akijua sio mwisho wa ndoa yako?
Okk ,, umejadili kwa kina na mkeo na kumshirikisha mpango wako(kama tishio kwamba kwq kuwq hutaki kunizalia nazaa nje) kisha na yeye akasemaje???
Hebu kabla ya kutekeleza wazo lako piga hasara na faida
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
nitamweza kweli !
Weeee unanchokoza et eeeeh? Nan alokuambia mie nataka kuzaa? Jishikilie na huo utu uzima ulio nao, mxieeeeeeeeeeeeeeeewWasiliana na huyu
@cocastic
Au unahitaji jinsia fulani uneikosa.. why mkeo akatae kukuzalia.. may be kaona kuna ualakin wa matunzo kwa familia. Then wataka zaa nje ya ndoa..Kwa mrembo aliye tayari natafuta dada wa kuzaa naye, awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 35. Mimi binafsi nina 38 na nina kazi nzuri ya kuweza kumhudumia mtoto. Nimeoa. Kwanini nataka mtoto nje ya ndoa? Mke wangu hataki kuzaa watoto zaidi ya wawili na kusema kweli naitaji na ninapenda kuwa na watoto wengi. Aliye tayari tafadhali aje inbox. Ninatagharamia mahitaji yote ya mtoto na mama yake.