Ngosha255
JF-Expert Member
- Mar 29, 2013
- 430
- 512
Hello
Kama heading inavyojieleza natafuta mshirika mtu ambaye ana biashara tayar iliyo halali au mwenye wazo na mtaji pia niingize kimtaji changu kidogo tufanye biashara pamoja
KWANINI MSHIRIKA
1-Sina uzoefu sana wa biashara
2-Kila biashara ninayopanga nikitazama changamoto naishia kusitisha wazo
KIANZIO
Kianzio kilichopo ni kama milioni 1 japo inaweza ongezeka kutokana na biashara yenyewe
LOCATION
Mahali popote japo ni vema zaidi ikiwa kanda ya ziwa
Kuhusu elimu na mambo mengine
[emoji116]
Mawaliano
0756908809
Kama heading inavyojieleza natafuta mshirika mtu ambaye ana biashara tayar iliyo halali au mwenye wazo na mtaji pia niingize kimtaji changu kidogo tufanye biashara pamoja
KWANINI MSHIRIKA
1-Sina uzoefu sana wa biashara
2-Kila biashara ninayopanga nikitazama changamoto naishia kusitisha wazo
KIANZIO
Kianzio kilichopo ni kama milioni 1 japo inaweza ongezeka kutokana na biashara yenyewe
LOCATION
Mahali popote japo ni vema zaidi ikiwa kanda ya ziwa
Kuhusu elimu na mambo mengine
[emoji116]
Mawaliano
0756908809