Natafuta msichana mrembo anaejua thamani ya mwanamme aliye tayari kuolewa na mimi

Natafuta msichana mrembo anaejua thamani ya mwanamme aliye tayari kuolewa na mimi

jandu

Member
Joined
Jun 15, 2016
Posts
45
Reaction score
29
Kazi yangu ni Engineer, ila natafuta mwanamke alie na uvumilivu kwa mimi na kazi yangu,kusafiri kwenda nje ya nchi ya tz na Tanzania ndio ajira yangu kuu wakati nikiwa kikazi,na mwanamke awe mrefu,mweupe kidogo au zaidi,awe na umri wa miaka 21-25.

Awe anajua kupika na kupakua kwa usiku na mchana.Anicheki inbox,ili nionane nae kabla ya December 31 maana tarehe 5Jan naenda Kikazi Congo.
 
Aisee mcheki [HASHTAG]#missnatafuta[/HASHTAG] atakufaa sana
 
Kazi yangu ni Engineer,ila natafuta mwanamke alie na uvumilivu kwa mimi na kazi yangu,kusafiri kwenda nje ya nchi ya tz na Tanzania ndio ajira yangu kuu wakati nikiwa kikazi,na mwanamke awe mrefu,mweupe kidogo au zaidi,awe na umri wa miaka 21-25.Awe anajua kupika na kupakua kwa usiku na mchana.Anicheki inbox,ili nionane nae kabla ya December 31 maana tarehe 5Jan naenda Kikazi Congo.
Daah nyie wahandisi huko vyuoni hamnaga hata wanawake wa kujifunzia jinsi ya kuttonngoza? yaani maelezo makavu kupitiliza kama vile upo "site". utaishia kupiga puchu "punyere" mpaka mwisho wa dunia usipobadilika.
 
Kazi yangu ni Engineer, ila natafuta mwanamke alie na uvumilivu kwa mimi na kazi yangu,kusafiri kwenda nje ya nchi ya tz na Tanzania ndio ajira yangu kuu wakati nikiwa kikazi,na mwanamke awe mrefu,mweupe kidogo au zaidi,awe na umri wa miaka 21-25.

Awe anajua kupika na kupakua kwa usiku na mchana.Anicheki inbox,ili nionane nae kabla ya December 31 maana tarehe 5Jan naenda Kikazi Congo.
Utakutana na wakina SHUMILETA, mtaani kwao ameshashindikana
 
Back
Top Bottom