jandu
Member
- Jun 15, 2016
- 45
- 29
Kazi yangu ni Engineer, ila natafuta mwanamke alie na uvumilivu kwa mimi na kazi yangu,kusafiri kwenda nje ya nchi ya tz na Tanzania ndio ajira yangu kuu wakati nikiwa kikazi,na mwanamke awe mrefu,mweupe kidogo au zaidi,awe na umri wa miaka 21-25.
Awe anajua kupika na kupakua kwa usiku na mchana.Anicheki inbox,ili nionane nae kabla ya December 31 maana tarehe 5Jan naenda Kikazi Congo.
Awe anajua kupika na kupakua kwa usiku na mchana.Anicheki inbox,ili nionane nae kabla ya December 31 maana tarehe 5Jan naenda Kikazi Congo.