Natafuta msichana mrembo anaejua thamani ya mwanamme aliye tayari kuolewa na mimi

Natafuta msichana mrembo anaejua thamani ya mwanamme aliye tayari kuolewa na mimi

Kazi yangu ni Engineer, ila natafuta mwanamke alie na uvumilivu kwa mimi na kazi yangu,kusafiri kwenda nje ya nchi ya tz na Tanzania ndio ajira yangu kuu wakati nikiwa kikazi,na mwanamke awe mrefu,mweupe kidogo au zaidi,awe na umri wa miaka 21-25.

Awe anajua kupika na kupakua kwa usiku na mchana.Anicheki inbox,ili nionane nae kabla ya December 31 maana tarehe 5Jan naenda Kikazi Congo.
Mkuu kwa utamburisho huu especially pale kuwa unaenda sana nje basi tegemea lundo la maombi
 
Mijitu mingine bana dume zima mwenzio anatafuta mwanamke lingine linaponda utafikir limelazimishwa kupita hapa nenda ww basi ukafumuliwe malinda kama unamaind mwenzio mwenzio kaweka bango lake na ww weka lako sio kumkashifu
 
Mijitu mingine bana dume zima mwenzio anatafuta mwanamke lingine linaponda utafikir limelazimishwa kupita hapa nenda ww basi ukafumuliwe malinda kama unamaind mwenzio kaweka bango lake na ww weka lako sio kumkashifu
 
Yaani hapa nipo kushoto kabisa!!! Wala si-fit.
Anyway... Warembo, nafasi ndo hiyo!
 
Back
Top Bottom