Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 977
- 2,370
Sijameet vigezo, afu age ndo nime-over qualify. Ngoja tu niendelee kusubiri tangazo lingine
Halafu wewe kumbe bado upo single si uje huku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijameet vigezo, afu age ndo nime-over qualify. Ngoja tu niendelee kusubiri tangazo lingine
Wapi huko tena ?Halafu wewe kumbe bado upo single si uje huku?
Wapi huko tena ?
Kwema kabisa mkuuhahahahaha Uje humu humu ule good time. kwema lakini?
sasa kwani ukiwa congo inbox hupatikani?Kazi yangu ni Engineer, ila natafuta mwanamke alie na uvumilivu kwa mimi na kazi yangu,kusafiri kwenda nje ya nchi ya tz na Tanzania ndio ajira yangu kuu wakati nikiwa kikazi,na mwanamke awe mrefu,mweupe kidogo au zaidi,awe na umri wa miaka 21-25.
Awe anajua kupika na kupakua kwa usiku na mchana.Anicheki inbox,ili nionane nae kabla ya December 31 maana tarehe 5Jan naenda Kikazi Congo.
Hana lolote huyu!This is one of the reasons to like engineers, he just went straight to the point, lawyers could have come with more words.
hahahahahah mkuu jidogoshe tu hakuna namnaSijameet vigezo, afu age ndo nime-over qualify. Ngoja tu niendelee kusubiri tangazo lingine
Mmh sura nayo ntaidogosha?hahahahahah mkuu jidogoshe tu hakuna namna
Fursa hiyo warembo,msiseme mungu hajawaona 2016, hahahahaha joksUsimkatishe tamaa. Ngoja wamke uone...
Cc: miss chagga Heaven Sent Miss Natafuta Honey Faith atoto @naisujaki Nifah Dinazarde et al et al [HASHTAG]#fursa[/HASHTAG]
Kwanini unasema hivyo?mmmmh sidhani kama atanikubali
sura nzitoKwanini unasema hivyo?
Ahaaaaa....., kumbe nyeto ni kwa ajili ya wanaotongoza kavu kavu bila kuweka viungo wala bamia ili maneno yateleze na kuleta ladha eeehDaah nyie wahandisi huko vyuoni hamnaga hata wanawake wa kujifunzia jinsi ya kuttonngoza? yaani maelezo makavu kupitiliza kama vile upo "site". utaishia kupiga puchu "punyere" mpaka mwisho wa dunia usipobadilika.
Acha wivuHana lolote huyu!
Ni mnunuaji anajaribu kupata wanaouza humu JF!
hakuna lawyer muoga kuimbisha, kama lawyer akiwa domo zege atasimamaje kumtetea client au kumuwakilisha ktk mahakama au maeneo mengine ya kibiashara/mikataba!