Natafuta msimamizi wa shamba la mifugo na kilimo

Natafuta msimamizi wa shamba la mifugo na kilimo

Abie

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
289
Reaction score
535
Habari wana jamvi, kama ilivyo heading hapo juu. Natafuta mtu ambaye yupo serious, committed, experienced and devoted; aje awe manager wa shamba.

Shamba lipo Namtumbo Ruvuma.

Note:
1. Shamba ndio linaanzishwa
2. Lita include mifugo kama kuku wa
kienyeji, Bata na mbuzi.
3. Mradi wa kilimo cha mboga mboga.
4. Mradi wa kilimo cha migomba.

SIFA
1. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri, akiwa na elimu ya kuanzia form four na kuendelea itapendekeza zaidi.
2. Umri ni kuanzia 18-30
3. Asiye na records mbaya kwenye jamii na asiye na tamaa ya kupata hela kwa haraka.
4. Mwenye elimu ya ufugaji na kilimo atazingatiwa zaidi.

Karibuni sana katika mapambano ya maisha. ,,,,,,PAMOJA TUNAWEZA,,,,,
 
Habari wana jamvi, kama ilivyo heading hapo juu. Natafuta mtu ambaye yupo serious, committed, experienced and devoted; aje awe manager wa shamba.

Shamba lipo Namtumbo Ruvuma.

Note:
1. Shamba ndio linaanzishwa
2. Lita include mifugo kama kuku wa
kienyeji, Bata na mbuzi.
3. Mradi wa kilimo cha mboga mboga.
4. Mradi wa kilimo cha migomba.

SIFA
1. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri, akiwa na elimu ya kuanzia form four na kuendelea itapendekeza zaidi.
2. Umri ni kuanzia 18-30
3. Asiye na records mbaya kwenye jamii na asiye na tamaa ya kupata hela kwa haraka.
4. Mwenye elimu ya ufugaji na kilimo atazingatiwa zaidi.

Karibuni sana katika mapambano ya maisha. ,,,,,,PAMOJA TUNAWEZA,,,,,
Weka kima cha mshahara
 
Huo umri uliotaja ni shida sana maana wana njaa sana na hela. bora utafute mtu mzima mwenye familia umkabidhi na familia yake ikae hapo. Epuka vijana wenye wake ambao wake zao wamewaacha huko. Yaani hao kila mda anaomba ruhusa akamuone mke wake na akipata kamtaji hutmuona
 
Habari wana jamvi, kama ilivyo heading hapo juu. Natafuta mtu ambaye yupo serious, committed, experienced and devoted; aje awe manager wa shamba.

Shamba lipo Namtumbo Ruvuma.

Note:
1. Shamba ndio linaanzishwa
2. Lita include mifugo kama kuku wa
kienyeji, Bata na mbuzi.
3. Mradi wa kilimo cha mboga mboga.
4. Mradi wa kilimo cha migomba.

SIFA
1. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri, akiwa na elimu ya kuanzia form four na kuendelea itapendekeza zaidi.
2. Umri ni kuanzia 18-30
3. Asiye na records mbaya kwenye jamii na asiye na tamaa ya kupata hela kwa haraka.
4. Mwenye elimu ya ufugaji na kilimo atazingatiwa zaidi.

Karibuni sana katika mapambano ya maisha. ,,,,,,PAMOJA TUNAWEZA,,,,,
Tangaza kazi rasmi
 
A
Habari wana jamvi, kama ilivyo heading hapo juu. Natafuta mtu ambaye yupo serious, committed, experienced and devoted; aje awe manager wa shamba.

Shamba lipo Namtumbo Ruvuma.

Note:
1. Shamba ndio linaanzishwa
2. Lita include mifugo kama kuku wa
kienyeji, Bata na mbuzi.
3. Mradi wa kilimo cha mboga mboga.
4. Mradi wa kilimo cha migomba.

SIFA
1. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri, akiwa na elimu ya kuanzia form four na kuendelea itapendekeza zaidi.
2. Umri ni kuanzia 18-30
3. Asiye na records mbaya kwenye jamii na asiye na tamaa ya kupata hela kwa haraka.
4. Mwenye elimu ya ufugaji na kilimo atazingatiwa zaidi.

Karibuni sana katika mapambano ya maisha. ,,,,,,PAMOJA TUNAWEZA,,,,,
ASie na tamaa ya Hela swali Kwako mkiu je vp Kam utakuwa tajiri kichomi muda wa kupata mahitaji yake akiwa site na ana upungufu wa chakula au muda wa mshahara kila ukifika unakuwa na viswahili vingi.
 
Habari wana jamvi, kama ilivyo heading hapo juu. Natafuta mtu ambaye yupo serious, committed, experienced and devoted; aje awe manager wa shamba.

Shamba lipo Namtumbo Ruvuma.

Note:
1. Shamba ndio linaanzishwa
2. Lita include mifugo kama kuku wa
kienyeji, Bata na mbuzi.
3. Mradi wa kilimo cha mboga mboga.
4. Mradi wa kilimo cha migomba.

SIFA
1. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri, akiwa na elimu ya kuanzia form four na kuendelea itapendekeza zaidi.
2. Umri ni kuanzia 18-30
3. Asiye na records mbaya kwenye jamii na asiye na tamaa ya kupata hela kwa haraka.
4. Mwenye elimu ya ufugaji na kilimo atazingatiwa zaidi.

Karibuni sana katika mapambano ya maisha. ,,,,,,PAMOJA TUNAWEZA,,,,,
No zako ziko wapi mbona hakuna maana maswali ni mengi.kufanya kazi ni moja ila makubaliano yama sharti yako ni 2 tatu ni swala la kumsikiliza kidogo n msimamizi wako
 
Huo umri uliotaja ni shida sana maana wana njaa sana na hela. bora utafute mtu mzima mwenye familia umkabidhi na familia yake ikae hapo. Epuka vijana wenye wake ambao wake zao wamewaacha huko. Yaani hao kila mda anaomba ruhusa akamuone mke wake na akipata kamtaji hutmuona
Ushauri mzuri sana. Nitaufanyia kazi mkuu. Lakini je unaweza kumsema mtu mzima akikosea? Ndio nakwama hapo
 
Kwa Sisi tuliovuka huo umri uliouweka fursa hii imetupiga kikumbo
 
Back
Top Bottom