Natafuta msimamizi wa shamba la mifugo na kilimo

Natafuta msimamizi wa shamba la mifugo na kilimo

Kwa Sisi tuliovuka huo umri uliouweka fursa hii imetupiga kikumbo
Hapana tunaweza kuwasiliana zaidi pm mkuu. Kikubwa ni commitment ya mtu. Kanuni zinaweza kubadilishwa😂😂😂
 
Habari wana jamvi, kama ilivyo heading hapo juu. Natafuta mtu ambaye yupo serious, committed, experienced and devoted; aje awe manager wa shamba.

Shamba lipo Namtumbo Ruvuma.

Note:
1. Shamba ndio linaanzishwa
2. Lita include mifugo kama kuku wa
kienyeji, Bata na mbuzi.
3. Mradi wa kilimo cha mboga mboga.
4. Mradi wa kilimo cha migomba.

SIFA
1. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri, akiwa na elimu ya kuanzia form four na kuendelea itapendekeza zaidi.
2. Umri ni kuanzia 18-30
3. Asiye na records mbaya kwenye jamii na asiye na tamaa ya kupata hela kwa haraka.
4. Mwenye elimu ya ufugaji na kilimo atazingatiwa zaidi.

Karibuni sana katika mapambano ya maisha. ,,,,,,PAMOJA TUNAWEZA,,,,,
Mkuu ungeweka bei ingekuwa nzuri zaidi, mtaalam wa kilimo nipo hapa
 
Mtoa maada ushapata manager?kama bado kuna mtu anauzoefu wa kutosha atakuwa msaada mkubwa sana kwako
 
Habari wana jamvi, kama ilivyo heading hapo juu. Natafuta mtu ambaye yupo serious, committed, experienced and devoted; aje awe manager wa shamba.

Shamba lipo Namtumbo Ruvuma.

Note:
1. Shamba ndio linaanzishwa
2. Lita include mifugo kama kuku wa
kienyeji, Bata na mbuzi.
3. Mradi wa kilimo cha mboga mboga.
4. Mradi wa kilimo cha migomba.

SIFA
1. Awe na uwezo wa kusoma na kuandika vizuri, akiwa na elimu ya kuanzia form four na kuendelea itapendekeza zaidi.
2. Umri ni kuanzia 18-30
3. Asiye na records mbaya kwenye jamii na asiye na tamaa ya kupata hela kwa haraka.
4. Mwenye elimu ya ufugaji na kilimo atazingatiwa zaidi.

Karibuni sana katika mapambano ya maisha. ,,,,,,PAMOJA TUNAWEZA,,,,,
Kwa huo umri huwezi pata mtu,huo umri kwanza ni genz masharabaro,wapaka poda,at least kwanzia miaka 35 ungepata watu maana huo umri anajitambua vyema
 
Back
Top Bottom