Natafuta msimamizi wa shughuli zote za shamba

Kumi4

Senior Member
Joined
Nov 4, 2021
Posts
101
Reaction score
106
Habari zenu wana Jukwaa, kijana wenu nina uhitaji wa msimamizi wa shughuli zote za shamba, kuanzia kilimo mpaka usalama wa shamba. Shamba liko Mkuranga, Kimanzichana eneo lina Ekari 6, kilimo kikuu kitakuwa ni mboga mboga (Bustani).

Bajeti yangu ni 120,000 kwa mwezi pamoja na Unga kiroba kimoja na mboga. Shamba lina Maji (Visima viwili), HAKUNA UMEME.

MHITAJI MWENYE MKE NAMPA KIPAUMBELE.

Akiwa mtu wa Shinyanga, Mwanza au Tabora itakuwa vizuri zaidi.

Wa kunielewa hapa atakuwa kaelewa nataka mtu wa aina gani.
Nawakilisha.

Nitafutwe kupitia 0653828027.
 

Attachments

  • IMG_20210829_131834.jpg
    1.7 MB · Views: 7
  • IMG_20210829_131413.jpg
    2.2 MB · Views: 7
  • 20190724_142028.jpg
    972.3 KB · Views: 7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…