Natafuta msimamizi wa shughuli zote za shamba

Natafuta msimamizi wa shughuli zote za shamba

Kumi4

Senior Member
Joined
Nov 4, 2021
Posts
101
Reaction score
106
Habari zenu wana Jukwaa, kijana wenu nina uhitaji wa msimamizi wa shughuli zote za shamba, kuanzia kilimo mpaka usalama wa shamba. Shamba liko Mkuranga, Kimanzichana eneo lina Ekari 6, kilimo kikuu kitakuwa ni mboga mboga (Bustani).

Bajeti yangu ni 120,000 kwa mwezi pamoja na Unga kiroba kimoja na mboga. Shamba lina Maji (Visima viwili), HAKUNA UMEME.

MHITAJI MWENYE MKE NAMPA KIPAUMBELE.

Akiwa mtu wa Shinyanga, Mwanza au Tabora itakuwa vizuri zaidi.

Wa kunielewa hapa atakuwa kaelewa nataka mtu wa aina gani.
Nawakilisha.

Nitafutwe kupitia 0653828027.
IMG_20210829_132412.jpg
IMG-20211011-WA0002.jpg
 

Attachments

  • IMG_20210829_131834.jpg
    IMG_20210829_131834.jpg
    1.7 MB · Views: 7
  • IMG_20210829_131413.jpg
    IMG_20210829_131413.jpg
    2.2 MB · Views: 7
  • 20190724_142028.jpg
    20190724_142028.jpg
    972.3 KB · Views: 7
Back
Top Bottom