chimulenga
Senior Member
- Jun 28, 2023
- 174
- 360
Habarini wana JF,
Kutokana na maisha kwenda kasi hatuna budi kuwa na ubavu wa kushoto wa kusaidiana maisha ya hapa na pale.
Natafuta mwanamke mwenye sifa hizi:
Awe na umri 28-32.
Asiwe na mtoto.
Awe islam dini imelala kichwani yaani awe na misingi ya kidini.
Awe kaajiriwa au kajiajiri.
Wasifu wangu
Mimi najishughulisha na biashara ndogo ndogo.
Niko dar es salaam.
Kwa aliye Dar es salaam ni Muhimu zaidi.
PM KWA ALIE SERIOUS
MENGNE YOTE TUTAMALIZANA HUKO.
KARIBUN SANA
Kutokana na maisha kwenda kasi hatuna budi kuwa na ubavu wa kushoto wa kusaidiana maisha ya hapa na pale.
Natafuta mwanamke mwenye sifa hizi:
Awe na umri 28-32.
Asiwe na mtoto.
Awe islam dini imelala kichwani yaani awe na misingi ya kidini.
Awe kaajiriwa au kajiajiri.
Wasifu wangu
Mimi najishughulisha na biashara ndogo ndogo.
Niko dar es salaam.
Kwa aliye Dar es salaam ni Muhimu zaidi.
PM KWA ALIE SERIOUS
MENGNE YOTE TUTAMALIZANA HUKO.
KARIBUN SANA