JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 758
- 555
Mimi ni Mjasiriamali, sasa kuna shughuli zimekwama kidogo nahitaji kama shilngi 70000 (elfu sabini). Dhamana yangu ni camera aina ya cannon iliyo katika hali nzuri na inafanya kazi ikiwa na lensi zake mbili, mic na charger.
Nitakopa kwa muda wa siku 15 au 20 tu kwa riba tutakayokubaliana.
Nipo Dar Es Salaam
Nitakopa kwa muda wa siku 15 au 20 tu kwa riba tutakayokubaliana.
Nipo Dar Es Salaam