GOLD BOY
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 387
- 490
Kisirani cha nini[emoji2][emoji2] ndomo zipo zakutoshaUkipata unachotafuta Tuambie,Gono UTI bila kusahau UKIMWI na mapepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisirani cha nini[emoji2][emoji2] ndomo zipo zakutoshaUkipata unachotafuta Tuambie,Gono UTI bila kusahau UKIMWI na mapepo.
Sawa al the bestKisirani cha nini[emoji2][emoji2] ndomo zipo zakutosha
Wewe mwaminifu,sasa mambo ya kuazimana ghetto,unafanyia biashara gani?Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!
Nitakua nampooza ya maji!!
NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
Tupiamo tupicha pichaaa,toneemooo😂mimi nina nyumba kali kaka
ha ha haTupiamo tupicha pichaaa,toneemooo😂
ebuuNjoo NATIONAL mzee kuna ghto special kwa shughuli flani, ni kali kubwa.
shuhuli zanguWewe mwaminifu,sasa mambo ya kuazimana ghetto,unafanyia biashara gani?
ndo shida yako hiyo nayoTupiamo tupicha pichaaa,toneemooo😂
Kodisha ukumbinafanyia mikutano
mkubwa mnoKodisha ukumbi
Aisee nilikua sijajua maana ya geto kaliGeto kali mara nyingi huduma zake humo ni zaidi ya hotel/lodge huu nao ni ukweli ambao hutoambiwa kamwe.
Geto ili liwe kali kwanza sifa kuu halitakiwi kuwa uswahilini, pili linatakiwa kuwa Self lenye kila huduma za kumaliza ndani bila kusumbua majirani.
Mfano, choo&bafu, jiko, sebure/chumba nadhifu, Smart Tv nch 43+, Sofa set, Kingamuzi kilicholipiwa DSTV&Azam only, Friji lililojaa mazaga ya week nzima, Paket ya Kondom, Dawa za kupunguza maumivu ya mwili e.g kichwa&tumbo.
Kabati lenye set ya mafuta&pafyum za gharama, shoes case yenye pair zaid ya 3, Kitanda cha kisasa 5×6 nch or whatever,
Bila kusahau Fence&geti, Car parking, simple garden&mahala pa kupumzikia
Kiufupi geto kali ni lile linalotoa huduma zote kali kwa bei ya kitanzania,
Tsh 50,000 per day, ukichukua siku 3 utapewa punguzo la Tsh 5000 kwa kila day[emoji3][emoji3][emoji3][emoji846],.
N.b: ukitaka punguzo nenda kwenye single rooms huko vichochoroni kwa wahuni wenzio, Uzinzi gharama lazima cash zikutoke[emoji3]
Nilichogundua hapa mwanza mademu wengi ukiwa na geto lako basi utajilia sana, tena kuvitongoza sio kazi ni siku moja tu[emoji1][emoji1]
angaliaNilichogundua hapa mwanza mademu wengi ukiwa na geto lako basi utajilia sana, tena kuvitongoza sio kazi ni siku moja tu[emoji1][emoji1]
bado unaloMzee vipi umepata?