Lucy massunya
Member
- Feb 12, 2013
- 16
- 31
- Thread starter
-
- #21
it depends... kila mtu ana changamoto zake... that's why kuna sheriaKufanya biashara na mwanamke yataka moyo
Ngoja nikuambie: maelezo yako yanajitosheleza kabisa. Kila kitu kiko clear. Kama kuna mtu ana nia ya kuwekeza basi ataku-contact na mtapeana details zaidi. Hapa JF mimi ni mkongwe na nikutahadharishe. Asilimia kubwa ya wanaouliza maswali na kukulaumu kwa nini hujibu ni wa kupuuza/kuwaambia watumie PM kwani either hawana nia au uwezo wa kuwekeza. Kingine: Utafuatwa sana na matapeli na pia wanaume ambao wanataka kutumia hitaji lako kwa manufaa yao, hivyo uwe mwangalifu sana. Kuna dada mmoja yamemkumta. Alitaka kufanya biashara ya ubia kama wewe akatangaza, akatokea jamaa mmoja akamwambia ana nia ya kuwekeza. Wakapanga kwenda sehemu kupeana details, jamaa akanunulia soda wanywe wakati wanaongea. Matokeo yake dada akaleweshwa na madawa na kuporwa kila kitu. Nasema tena: uwe mwangalifu sana na hata kama kuongea nendeni sehemu unazojua wewe ni salama na kila mtu mchukulie kwa tahadhari.I
it depends... kila mtu ana changamoto zake... that's why kuna sheria
YahNdiyo ulinicall jana right?
ingekuwa moro ngekuunga na sista chapu , ngempa mtaji mkafanya wonders.Thanks a lot dear
Mimi naomba kufahamu kabla sijakupigia...Fremu ya saluni unayoiwaza inaweza kugharimu kiasi gani mfano ikiwa Mori au kwa Remmy pale? Na decoration inaweza kugharimu kiasi gani?I
it depends... kila mtu ana changamoto zake... that's why kuna sheria
Mbona hututahadharishi na sisi kuhusu yeye au yeye hawezi kutulewesha kwa kupaka dawa ya usingizi kwenye chuchuNgoja nikuambie: maelezo yako yanajitosheleza kabisa. Kila kitu kiko clear. Kama kuna mtu ana nia ya kuwekeza basi ataku-contact na mtapeana details zaidi. Hapa JF mimi ni mkongwe na nikutahadharishe. Asilimia kubwa ya wanaouliza maswali na kukulaumu kwa nini hujibu ni wa kupuuza/kuwaambia watumie PM kwani either hawana nia au uwezo wa kuwekeza. Kingine: Utafuatwa sana na matapeli na pia wanaume ambao wanataka kutumia hitaji lako kwa manufaa yao, hivyo uwe mwangalifu sana. Kuna dada mmoja yamemkumta. Alitaka kufanya biashara ya ubia kama wewe akatangaza, akatokea jamaa mmoja akamwambia ana nia ya kuwekeza. Wakapanga kwenda sehemu kupeana details, jamaa akanunulia soda wanywe wakati wanaongea. Matokeo yake dada akaleweshwa na madawa na kuporwa kila kitu. Nasema tena: uwe mwangalifu sana na hata kama kuongea nendeni sehemu unazojua wewe ni salama na kila mtu mchukulie kwa tahadhari.
Nilijiuliza kama wewe pia,kama wateja wamekukubali na kukufuata nyumbani kwako kuna umuhimu gani wa kujiongezea gharama za kukodi fremu.Nawaza kwa sauti tu.
Mbona naona ikiwa una wateja wa kutosha kukuweka busy kutwa nzima hicho unachofanya cha kufuatwa au wewe kumfuata mteja ni bora zaidi ni kinakupa faida kubwa kutokana na gharama ndogo za uzalishaji
Vinginevyo uelezee kama mahitaji yamekuwa makubwa unataka kupanua biashara. Lakini kwa ukubwa gani na ndoto zako ni zipi.
Tahadhali. Partnership ya kutegemea ujuzi wa partner mmoja huwa zinachangamoto pale mwenye taaluma anataka kuacha kisha wewe parter tegemezi unataka kuendelea na huna ujuzi na hiyu business.
You are not serious,unajiweka kikaangoni mwenyewe halafu badae uje kuanzisha uzi kwamba pesa yako haijarudishwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Through your experience it cost around which amount?( sijui nikiwekaza hapa nitapata na jiko pia)[emoji16][emoji16][emoji16]