Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #21
Mida mzuri Tu mbonaSaa 4 asubui hadi saa 4usiku .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mida mzuri Tu mbonaSaa 4 asubui hadi saa 4usiku .
Hapana .kalale kwenuKama utaruhusu nilale nitajitolea kukufundisha bure
Daah! Sijui kwa nini nilienda kuomea makozi ya ajabu ajabu !! Ilikua bonge la zali.Natafuta Mwalimu wa Graphic Design
🔹 Sifa: Awe mhitimu wa chuo
🔹 Mshahara: Makubaliano
🔹 Mahali: Nyumbani kwangu (Dar es Salaam)
🔹 Ratiba: Kila Jumapili, kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 4 usiku
🔹 Marupurupu: Laptop, simu (kiswaswadu)
🔹 Muda wa Kozi: Makubaliano
📍 Awe mkazi wa Dar es Salaam
Kwa mawasiliano zaidi, tafadhali nitumie PM
Anza first yearDaah! Sijui kwa nini nilienda kuomea makozi ya ajabu ajabu !! Ilikua bonge la zali.
Kwa siku hizi unajifundisha kupitia AI tu.Natafuta Mwalimu wa Graphic Design
🔹 Sifa: Awe mhitimu wa chuo
🔹 Mshahara: Makubaliano
🔹 Mahali: Nyumbani kwangu (Dar es Salaam)
🔹 Ratiba: Kila Jumapili, kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 4 usiku
🔹 Marupurupu: Laptop, simu (kiswaswadu)
🔹 Muda wa Kozi: Makubaliano
📍 Awe mkazi wa Dar es Salaam
Kwa mawasiliano zaidi, tafadhali nitumie PM
Unaharibu utatukosesha kibarua wewe mwana wa makobaziKwa siku hizi unajifundisha kupitia AI tu.
Namna gani mamy .naitaji Sana kujua jamaniKwa siku hizi unajifundisha kupitia AI tu.