Natafuta mtu wa kunifundisha graphic design

Daah! Sijui kwa nini nilienda kuomea makozi ya ajabu ajabu !! Ilikua bonge la zali.
 
Mapumziko ni kila baada ya masaa mangapi ? Na wakati wa kupumzika, tunajiburudisha na nini ? Au kivipi ? Nasubiri maelekezo... !!
Nasubiri, sitafuti kazi nyingine...🥰🥰🥰
 
Kwa siku hizi unajifundisha kupitia AI tu.
 
Mimi najitolea kukufundisha bure starti langu ni niwe nakufundishia uwe Unavaa nguo fupi niwe nayaona mapaja yako mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…