Natafuta mtu wa kunisaidia kupata matunda ya huu mti. Jina ni MKWAMBA/MUWAKAWAKA

Sawa mkuu! Lakini umejaribu hosp. Zote matibabu ya kupooza mwili yakashindikana? Kama bado hamjampeleka,basi nashauri aende kwanza huko,matibabu wakati yakiendelea ya kitabibu bc na hayo madawa yenu muyatumia kama second option.
 
Sawa mkuu! Lakini umejaribu hosp. Zote matibabu ya kupooza mwili yakashindikana? Kama bado hamjampeleka,basi nashauri aende kwanza huko,matibabu wakati yakiendelea ya kitabibu bc na hayo madawa yenu muyatumia kama second option.
You're right. Na ndicho kinachofanyika. We want to go with both.
 
Nimekusaidia ili wanaoufahamu wautambue kwa urahisi na usaidike.
 

Attachments

  • E312E307-44FD-4478-8219-1FF226245211.jpeg
    277.6 KB · Views: 1
  • 81FA1477-D696-4742-B45D-E0A0ABD29FAD.jpeg
    345.7 KB · Views: 1
  • 94CF0EF3-C4A5-4CEE-9000-6616593C457F.jpeg
    418.7 KB · Views: 3
  • E6918117-1191-46C9-BB45-5CED87F5DF87.jpeg
    351.9 KB · Views: 2
Majani yake uwa yanarudisha nyota iliyopotea na kuongeza mvuto wa mtu ndo maana ukaitwa muwakawaka.

Kumbe ni mti tajiri kiasi hiki
 

Attachments

  • 29383C6B-67E5-4E8C-BB57-0688737D7585.jpeg
    220 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…