Herbalist Mtaturu
Senior Member
- Aug 17, 2023
- 156
- 237
M
Pia usipende kutumia dawa kwa kusikia vyema ukawashirikisha wataalamu husika
Miti hiyo ipo mingi sanaa, kama uko Dar es Salaam na ukanda wa pwani nitafute nikusaidie pakuyapata.Sema
Naupataje. Taja bei pia chief!
Ni mti bro.
Pia usipende kutumia dawa kwa kusikia vyema ukawashirikisha wataalamu husika