BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 776
Mimi ni mfanya biashara wa mambo ya utalii katika malazi na ushauri wa biashara katika mambo yanayo husiana na uwekezaji katika biashara ya utalii. Nina uzoefu mkubwa katika biashara hii na ni msomi wa ngazi ya stashahada na shahada ya utalii na utawala wa biashara. Nimeyumba katika biashara kuanzia mwaka 2016 ambapo nililazimika kufunga hoteli yangu Karatu na baada ya hapo baada ya Covid nilifunga lodge Serengeti. Kwasasa biashara ina anza kufunguka na kuanzia mwezi wa sita mwaka huu kutakuwa na bishara. Mpaka sasa matarajio yangu ya biashara mpaka mwezi wa kumi na mbili 2022 nategemea kuwa na mauzo ya dola za kimarekani 162,000 sawa na Tshs 385,560,000. Nikiwekeza ngungu zaidi kwa masoko naweza kwenda mbali zaidi.
Katika kipindi hiki cha takribani miaka nane kampuni yangu imeyumba mno katika mzunguko wa fedha kiasi kwamba tunashindwa kufungua tena biashara zetu na ndio maana natafuta kampuni itakayoweka kiasi cha fedha kwa ajili ya mtaji wa kufanyia kazi ambapo tutatoa faidi zaidi ya bank na pia atahusika moja kwa moja katika uendeshaji ili kuangalia maslahi yake.
Niko tayari kukaa na yeyote chini kujadili namna bora ya kufanya biashara hii. Naomba alieyeko serious anijie inbox tupange.
NAWAKILISHA
Katika kipindi hiki cha takribani miaka nane kampuni yangu imeyumba mno katika mzunguko wa fedha kiasi kwamba tunashindwa kufungua tena biashara zetu na ndio maana natafuta kampuni itakayoweka kiasi cha fedha kwa ajili ya mtaji wa kufanyia kazi ambapo tutatoa faidi zaidi ya bank na pia atahusika moja kwa moja katika uendeshaji ili kuangalia maslahi yake.
Niko tayari kukaa na yeyote chini kujadili namna bora ya kufanya biashara hii. Naomba alieyeko serious anijie inbox tupange.
NAWAKILISHA