Natafuta mume, awe HIV+

πŸ˜†πŸ˜†Utawezana? I have been single for a very long
Sema haki ya Mungu?πŸ˜†
 
Njoo nikuambukize mwayaπŸ˜πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† ngoma sio kitu ya kukukosesha Bebe mzuri
πŸ˜‚ πŸ˜‚ tatizo ni kwamba siwezi ingiwa na vidudu baby
 
Duh kumbe kuna mda jf mnakua na comment nzuri [emoji38]for the first time ndio naona
Mpk nkajua cko jf
Umewaza kama Mimi! Sina tabia ya kusoma comment zote kwenye Uzi

Ila huu ndo Uzi wa kwanza kusoma comment zote!

Kuna watu jamani duniani Wana mioyo ya upendo ...
 
Njoo nikuambukize mwayaπŸ˜πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† ngoma sio kitu ya kukukosesha Bebe mzuri
Hahaha your too funny!

I'm happy kukuona una furaha na unaweza kuwa huru namna hii

Mungu wangu ninayemtumikia akupe haja ya moyo wako!

Akufanyie kichekoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…