Natafuta mume, awe HIV+

Tafuta magome ya Mzambarau halafu yachemshe unywe lita moja asubuhi, lita moja mchana na usiku lita moja. Kwa muda wa mwezi mzima na baada ya hapo nenda clinic ukapime. Utanishukuru
 
Tafuta magome ya Mzambarau halafu yachemshe unywe lita moja asubuhi, lita moja mchana na usiku lita moja. Kwa muda wa mwezi mzima na baada ya hapo nenda clinic ukapime. Utanishukuru
Heeey[emoji276][emoji276]ukute kweli [emoji1][emoji1][emoji1] ntayapata wapi sasa?
 

Mungu ni wetu sote niishie hapo kwa leo…….
 
NakuPM namba ya mjomba muyajenge[emoji4]
Imeisha hiyo,
Una nusu ya moyo wangu na nusu iliyobaki kwangu, yote inakupenda weww, una jua langu, una mwez wangu, unatembea na roho yangu.
 
Lakini nasikia kuwa HIV inatofautiana kati ya mtu na mtu; unaweza kujikuta katika hali mbaya zaidi ukiongezewa maambukizi. Nakushauri ubaki kama ulivyo; upweke siyo mzigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…