Tafuta magome ya Mzambarau halafu yachemshe unywe lita moja asubuhi, lita moja mchana na usiku lita moja. Kwa muda wa mwezi mzima na baada ya hapo nenda clinic ukapime. UtanishukuruMimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili.
Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa.
Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV POSITIVE kama Mimi ili tutengeneze familia, upweke unachosha.
Karibu PM.
Heeey[emoji276][emoji276]ukute kweli [emoji1][emoji1][emoji1] ntayapata wapi sasa?Tafuta magome ya Mzambarau halafu yachemshe unywe lita moja asubuhi, lita moja mchana na usiku lita moja. Kwa muda wa mwezi mzima na baada ya hapo nenda clinic ukapime. Utanishukuru
Duh mkuu UKIMWI janga bhnNajizima data afu wadada wa hivi wanajua kupenda sana, hawatuangushi.
AIDs ni nini kwani??? What is a big deal...
Mimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili.
Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa.
Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV POSITIVE kama Mimi ili tutengeneze familia, upweke unachosha.
Karibu PM.
Aahh.. unanimaliza mimi mtoto wa mwanamke mwenzio, mimi kwako nyang'anyang'a.Kisses [emoji3059][emoji4]
Nitajie mahari tumalize jambo mapema, mambo yasiwe mengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imeisha hiyo,NakuPM namba ya mjomba muyajenge[emoji4]
Ukipiga shavu la kushoto, ntakugeuzia na la kulia,Kote nilikopita nimeteleza we ndo pilot love
Lakini nasikia kuwa HIV inatofautiana kati ya mtu na mtu; unaweza kujikuta katika hali mbaya zaidi ukiongezewa maambukizi. Nakushauri ubaki kama ulivyo; upweke siyo mzigo.Mimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili.
Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa.
Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV Positive kama mimi ili tutengeneze familia, upweke unachosha.
Karibu PM.