Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mrs Thabo Bester nimekuona hapo juu unacheka kama vile umefurahi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana, ubarikiwe🥰 Mpo wachache wenye mioyo Safi Kama hiiI know my dear.... Ila hongera kwa kujitambua.... Sisi wengine tumejipanga kujitambulia kaburini...
Ila ukimkosa huyo umtafutaye, usijali tuko marafiki ambao tunaweza kukupa company kiroho safi kabisa....
Maisha mafupi haya lazima tuishi kwa kupendana, kujaliana, kuheshimiana na kusaidiana
Sasa mbona tena unafunga milango ya baraka?Mkuu hicho ndio MAIN,vingine tunaelewana tu PM
Naishi na mjane ambaye alitelekezwa na ndugu za mumewe. Anaishi kwa matumaini na anajielewa sana. Mke na watoto wangu wameikubali hali yake na amekuwa kama sehemu ya familia sasa....Asante sana, ubarikiwe🥰 Mpo wachache wenye mioyo Safi Kama hii
Mecheka msibani. Acha ufala basi.... Khaaaa!😂 Kweli nakwambia, kwa huu uhitaj nilio nao,hata wa rombo mashat we nipe tuu
Nimewaza hofu uliyonayo...dah nikabaki kucheka...umenifurahisha tu...Mrs Thabo Bester nimekuona hapo juu unacheka kama vile umefurahi....
Ukiwaga sober unaandika utukufu tupu..I know my dear.... Ila hongera kwa kujitambua.... Sisi wengine tumejipanga kujitambulia kaburini...
Ila ukimkosa huyo umtafutaye, usijali tuko marafiki ambao tunaweza kukupa company kiroho safi kabisa....
Maisha mafupi haya lazima tuishi kwa kupendana, kujaliana, kuheshimiana na kusaidiana
Dear Aspirin,unajua wewe na wifi mnanifaa kabisa, Ni daktari/mtoa huduma wa ctc?Naishi na mjane ambaye alitelekezwa na ndugu za mumewe. Anaishi kwa matumaini na anajielewa sana. Mke na watoto wangu wameikubali hali yake na amekuwa kama sehemu ya familia sasa....
Kwahiyo naongelea uzoefu mamii... Tumemchukua huyu mama akiwa client wa mke wangu... Hivi sasa kapendeza midume inajipendekeza balaa.... Uzuri mama wa watu hajitakii dhambi mpya...Angeshawapanga wengi tu angetaka..
Ila Mungu yu mwema daima
😂😂😂😂Kila la kheri na Mungu akutangulie katika haja ya moyo wako.
Siku nitakayopata ujasiri wa kupima labda ndio siku nitakapokuwa nimeshakupoteza....
Mimi kupima labda nishikiwe mtutu wa bunduki huku nikibebwa na greda la Manispaa ya Kinondoni.....
Yeah.....Dear Aspirin,unajua wewe na wifi mnanifaa kabisa, Ni daktari/mtoa huduma wa ctc?
Kwahiyo unaninyima K Vant?Ukiwaga sober unaandika utukufu tupu..