Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona usanii wanaoutumia wazungu hapa?Why awe hiv+ ubgeishia unataka mume then useme status yako. Coz kwa anayetumia vizuri dose ya arv huwa hawezi kuambukiza and sometimes ukimpima inasoma -ve
Na ukiacha ghafla kweli unadanja.Acha tufe nazo[emoji4] kwa kweli dawa siez acha[emoji85]
usijali mimi niko PMNdio baby dadyyy, njoo tuwalee Hawa wasweetie
So...ukipatana na a woman who is HIV positive,utalala nae bila condom?Na ukiacha ghafla kweli unadanja.
Hii mada umeileta hapa just for a fun, ila mie naongelea serious hakuna kitu HIV, upungufu wa kinga mwilini upo kweli ila hausababishwi na HIV virus kama tulivyoaminishwa.
Sema HIV wewe AIDS unaijua au unaisikia?Kuna dada mmoja hapa mtaani kwetu by they ni mwajiriwa wa serikali ila ilo figure sasa uwiiiiiiiiiii kwani UKIMWI Shingapi ni bonge la dada mimi leo hii napiga bila shida yoyote ila ndomu muhimu.
Ishi kwa raha zako kuwa na AIDS ni fresh tu.
No more aids under AART[emoji23]aids Ni fainali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sa tutakula nini Java?
Sio hvyo tu mie kwangu kutumia condom hakuna kabisa..So...ukipatana na a woman who is HIV positive,utalala nae bila condom?
Miaka 65We Una miaka mingapi dear Wamundemu??[emoji4][emoji4]
Naomba reason chiefNa ukiacha ghafla kweli unadanja.
Hii mada umeileta hapa just for a fun, ila mie naongelea serious hakuna kitu HIV, upungufu wa kinga mwilini upo kweli ila hausababishwi na HIV virus kama tulivyoaminishwa.