Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifundishe namna ya kubadilisha nami nipendeke mkuu...😋Ushimen[emoji1] hiyo picha hapo Kali sana[emoji91]
Uongo dhambi bwana mie Nina Figure ya kizungu[emoji855][emoji38][emoji38][emoji38] yan Ile Hamna kituuu[emoji38][emoji38][emoji38] Kama ni kushika shika mchumba ajiandae kushika neno la Mungu[emoji85]Hiko kigezo cha hiv positive ni kidogo BabyMamy, Sasa jaribu kuongeza hapo unazigo balaa ..
Nakwambia dakika 5 nyingi utaona PM itakavyofurika na CV za waja
.
NB : Just a joke [emoji28]
Sawa mkuu, basi nifanyie wepesi nishakuchek PM😋Hiyo hiyo...uko unique vizuri kabisa...mtu akiskia ushimen anajua Ni mmoja tu
Sasa mzee niku ache uende, au Mimi ndo niende.Sawa mkuu, basi nifanyie wepesi nishakuchek PM😋
Tulikupeleka chuoni ukasome, badala yake unakuja kutafuta mashangazi huku🤨Sasa mzee niku ache uende, au Mimi ndo niende.
👉The battle between father and son
She is 32, kanizidi mingapi?!.Tulikupeleka chuoni ukasome, badala yake unakuja kutafuta mashangazi huku🤨
We hupendi.si mnapimaInaelekea unapenda sana nyama kwa nyama aka kupigwa mbichi
Umepata[emoji4][emoji4][emoji4]watu wote wanapenda[emoji124]
MmhTafuta magome ya Mzambarau halafu yachemshe unywe lita moja asubuhi, lita moja mchana na usiku lita moja. Kwa muda wa mwezi mzima na baada ya hapo nenda clinic ukapime. Utanishukuru