Natafuta mume, awe HIV+

Natafuta mume, awe HIV+

Hiko kigezo cha hiv positive ni kidogo BabyMamy, Sasa jaribu kuongeza hapo unazigo balaa ..
Nakwambia dakika 5 nyingi utaona PM itakavyofurika na CV za waja
.
NB : Just a joke [emoji28]
Uongo dhambi bwana mie Nina Figure ya kizungu[emoji855][emoji38][emoji38][emoji38] yan Ile Hamna kituuu[emoji38][emoji38][emoji38] Kama ni kushika shika mchumba ajiandae kushika neno la Mungu[emoji85]
 
Tafuta magome ya Mzambarau halafu yachemshe unywe lita moja asubuhi, lita moja mchana na usiku lita moja. Kwa muda wa mwezi mzima na baada ya hapo nenda clinic ukapime. Utanishukuru
Mmh
 
Back
Top Bottom