Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo angalia nisi kufukuze kwenye chama🤣😂Sawa nakusubiria unipe mrejesho kipenzi
Basi Intelligent businessman Rais wangu wa Majobless Promax ataona wivu
😂😂😂
Hahahaha unajua moyo wangu Mh Rais wa Majobless Promax ... Mimi nitakuwa wa kumpa moyo siku zote!Naam Mimi wala sina kinyongo, as long as you're willing to be a good husband.
then you got my blessings bro.
Beside niko pamoja na BabyMamy, nafurahi mnavyo mpa moyo.
Sisi ni majobless promaxIla jamani😄 mmeona jobless haitoshi mkaongeza na pro max😆
mzabzab acha uoga we Jamaa, una Kumbuka nili wahi kukwambia I'm your biggest fan?Ndio ukweli....mwaka 2026 nitaanza kumtafuta who i can bequeath jina la mzabzab hapa jf
mkuu una jua mboga mboga+ mbegu za matunda nayo ni tiba nzuri?.Sasa Trump itakuaje na kapiga kufuli wale mabwana wasiwaletee dawa na Serikali yenu si mnaijua ilivyo mbovu kwenye kujali afya za wananchi wake
Hii ya wapi?mkuu una jua mboga mboga+ mbegu za matunda nayo ni tiba nzuri?.
namjua mtu ANAYE tumia mboga+ mbegu za tikiti kupandisha cd4 and she lives cool.
Serikali ipo tuJibu Ni rahisi, TUTAKUFA😊 au we ulikua unawazaje kipenzi
Trump keshaharibu sasa, sijui kama hiv -ve kwasasa anakubali.Ukipata - ve na akatambua hali yako mtakaa vyema zaid
Nmepoa kabisaYes tumsamehe ili mada isiwe kubwa na tuzidi kumfariji ndugu yetu.
Pole kwa Hilo mkuu!
Nimefarijika sana kusikia hivyo MkuuNmepoa kabisa
🙏😍Nimefarijika sana kusikia hivyo Mkuu
Zama PM chap wewe ukinikataa basi utakuwa client wangu .😆😆Utawezana? I have been single for a very long
Sema haki ya Mungu?😆
Hela ya kubadilisha damu labda jf wanichangiemzabzab acha uoga we Jamaa, una Kumbuka nili wahi kukwambia I'm your biggest fan?
you will keep living ma nigga, hata ikibidi kwa kubadilisha damu.
Usi hofu, wakati ni muda sahihi.Hela ya kubadilisha damu labda jf wanichangie