Natafuta mume, awe HIV+

Natafuta mume, awe HIV+

Naam Mimi wala sina kinyongo, as long as you're willing to be a good husband.
then you got my blessings bro.

Beside niko pamoja na BabyMamy, nafurahi mnavyo mpa moyo.
Hahahaha unajua moyo wangu Mh Rais wa Majobless Promax ... Mimi nitakuwa wa kumpa moyo siku zote!

Nimemwambia nikikaa sawa, ntakuwa prayer partiner wake
 
Sasa Trump itakuaje na kapiga kufuli wale mabwana wasiwaletee dawa na Serikali yenu si mnaijua ilivyo mbovu kwenye kujali afya za wananchi wake
 
Sasa Trump itakuaje na kapiga kufuli wale mabwana wasiwaletee dawa na Serikali yenu si mnaijua ilivyo mbovu kwenye kujali afya za wananchi wake
Jibu Ni rahisi, TUTAKUFA😊 au we ulikua unawazaje kipenzi
 
Sasa Trump itakuaje na kapiga kufuli wale mabwana wasiwaletee dawa na Serikali yenu si mnaijua ilivyo mbovu kwenye kujali afya za wananchi wake
mkuu una jua mboga mboga+ mbegu za matunda nayo ni tiba nzuri?.

namjua mtu ANAYE tumia mboga+ mbegu za tikiti kupandisha cd4 and she lives cool.
 
Back
Top Bottom