Natafuta mume jaman

Ni kweli au unatania? unaishi wapi? mbali na kusoma, kazi yako ni nini? wapi (at least location)
 
weka picha yako basi. hata mm nina uhitaji huo. Godbless U.
 

Weka Picha ambayo si Passport size watu wakuone kuji commit bila mtu kukuona ni sawa na kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Mbona unajiita mama Samweli ni kwamba una mtoto aitwaye Samweli au?
 
Ni kweli au unatania? unaishi wapi? mbali na kusoma, kazi yako ni nini? wapi (at least location)

sasa hayo ntayaweka hapa ndugu yangu??nafikiri hayo ndo kwenye hizo mnaita pm
 
Asante,mi naomba nitangaze vita rasmi kwa kejeli nitakazoona katika hii sub forum kwa kuwa imepoteza maana kabisa.N mtu asianze kuuliza ooh umejiunga juzi tu,ohooo niko siku nyingi sana humu.
 

Aaah! amesahau tu kusema hajawahi kutongozwa!! may be alikuwa anatafuta Ready made Man, sie darasa la saba hata kama tuna pendo la kumbi kumbi moyoni mwetu hatuna nafasi!! Jamani kweli maendeleo ati sifa ya kupenda na ndoa ni digrii!!!!

All the best mama SAM!!!
 
Dada umejieleza vizuri nakuombea upate mume mwema wa chaguo lako.
 
Mama Samweli
Huja andika upo wapi au upo free kwenda mkoa wowote?
 
Nimependa ombi lako, ni-PM kwa mengineyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…