Safi sana Mama Samweli hebu tuma kwenye kmairo@ymail.com, labda inaweza kuwa mwanzo wa mawasiliano no one knows! Iyo ya akili kumkichwa inabidi nitulie zaidi.tehe tehe sasa kama unataka proof ya kupima kwamba mimi ni mchapa kazi labda nikutumie kwa email copy ya PD(Performance Development) yangu ili uone nilivyoratiwa "A" lakini sasa huo ni utendeji wa ofsini.sasa utendaji mwingine utapimaje???akili kumkichwa!!
Sasa nini maana ya kumwambia mahitaji yako kama tayari anayajua? Mpaka abembelezwa kwanza? Mungu angekuwa kweli anayajua mahitaji ya mtu asingemwacha mja wake ahahe kutafuta mabwana kiholela, angewakutanisha moja kwa moja, yeye si Mungu anaeweza kila kitu?Mungu hamshushii mume toka mbinguni bali mume atampata hapa hapa duniani, iwe kupitia JF, Kanisani, Msikitini, Mtaani ama kwingineko.
Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, kwani Mungu hajui mahitaji ya watu wake hadi asubiri waombe kwanza?
Hongera kwa kuliona hilo.. Kuna watu wanaendekeza kejeli tu na maneno maneno.
Dadangu Mama Samuel... Ukimpata mume usisite kutujulisha, ili nami nipate moyo wa kubandika Tangazo langu maana nina li edit kila siku ili liweze kueleweka..! Kila la heri Mama Sam..!
Mimi mwenyewe natafta mke .......ni pm ili tulonge utafurahi kuwa na mm ,...elimu yangu ni dr.
ah usijali we utakuwa wa kwanza kujua!