Natafuta mume jaman

Natafuta mume jaman

tehe tehe sasa kama unataka proof ya kupima kwamba mimi ni mchapa kazi labda nikutumie kwa email copy ya PD(Performance Development) yangu ili uone nilivyoratiwa "A" lakini sasa huo ni utendeji wa ofsini.sasa utendaji mwingine utapimaje???akili kumkichwa!!
Safi sana Mama Samweli hebu tuma kwenye kmairo@ymail.com, labda inaweza kuwa mwanzo wa mawasiliano no one knows! Iyo ya akili kumkichwa inabidi nitulie zaidi.
 
tatizo moja hujasema applications zitumwe kwa njia gani na mwisho ni lini!! hata hujasema unapatikana vp!

But ALL THE BEST!
 
Mungu hamshushii mume toka mbinguni bali mume atampata hapa hapa duniani, iwe kupitia JF, Kanisani, Msikitini, Mtaani ama kwingineko.
Maandiko yanasema ombeni nanyi mtapewa, kwani Mungu hajui mahitaji ya watu wake hadi asubiri waombe kwanza?
Sasa nini maana ya kumwambia mahitaji yako kama tayari anayajua? Mpaka abembelezwa kwanza? Mungu angekuwa kweli anayajua mahitaji ya mtu asingemwacha mja wake ahahe kutafuta mabwana kiholela, angewakutanisha moja kwa moja, yeye si Mungu anaeweza kila kitu?
 
bora mwaya umeona mie mgeni humu ndani ila nashangazwa na majibu yaliyomo, mtu yuko serious mtu analeta mzaha, oh badilikeni tuwe serious na kama huna la kuchangia bora ukae kimya kuliko kukejeri:nono::frusty:
 
kila lilo jema mwaya atapatikana soon utukaribishe tuje kusheherekea. :A S-heart-2::A S-heart-2:
 
Mume/ mke mwema hapatikani kwenye keyboard.
 
Mama Samweli kwa namna ulivyo andika inaonekana kabisa unampenda mungu. Sasa ukipata mume wa kiislam mchamungu utamkubali?
 
Dadangu Mama Samuel... Ukimpata mume usisite kutujulisha, ili nami nipate moyo wa kubandika Tangazo langu maana nina li edit kila siku ili liweze kueleweka..! Kila la heri Mama Sam..!
 
Mimi mwenyewe natafta mke .......ni pm ili tulonge utafurahi kuwa na mm ,...elimu yangu ni dr.
 
Dadangu Mama Samuel... Ukimpata mume usisite kutujulisha, ili nami nipate moyo wa kubandika Tangazo langu maana nina li edit kila siku ili liweze kueleweka..! Kila la heri Mama Sam..!

ah usijali we utakuwa wa kwanza kujua!
 
Mimi nina vigezk vyote. Penye umri ndiyo bado naomba unisubiri niongezeke miaka 3 ili nifikishe 35
 
tatozo hilo wakati uanafanya maombi uliomba masters ukazani italeta mume....!!rudi kanisani anza kuimba kwaya hudhuria fellowship utakutana nawasimbe wenzio wanao wanao tafuta wake...!!
 
Back
Top Bottom