Hivi unaolewa na mwanaume au kabla la Wahaya,acha utoto ww n mtu mzma now.Nimechoka na upweke
Natafuta mwanaume aliye serious kbs kujenga maisha
Mrefu
Awe anajishughulisha na kazi yyte halali
Asiwe muhaya
Elimu kuanzia la saba
Mimi ni mwnadad nna degree moja
Naishi dar
Najielewa na natambua majukumu yngu
Umri 30
Kama yupo yyte Naomba aje inbox
Nani anataka mambo ya kuongozana mnaonekana km nusu na roboHiki kigezo cha urefu kinanikosesha mke kwa mara nyingine tena.
Hivi akiwa mfupi hafikii jamani? Mambo gani haya...
Ivi wahaya wakoje mbona wadada hawataki.Nimechoka na upweke.
Natafuta mwanaume aliye serious kabisa kujenga maisha.
Sifa zake;
Mrefu
Awe anajishughulisha na kazi yeyote halali
Asiwe Muhaya
Elimu kuanzia la saba
Sifa zangu;
Mimi ni mwanadada nina degree moja
Naishi Dar
Najielewa na natambua majukumu yangu
Umri 30
Kama yupo yeyote naomba aje inbox
Wanatuonea tu kwakweliIvi wahaya wakoje mbona wadada hawataki.
Namba yakounaweza kuja inbox
Warefu wamekwisha, [emoji12]Nimechoka na upweke.
Natafuta mwanaume aliye serious kabisa kujenga maisha.
Sifa zake;
Mrefu
Awe anajishughulisha na kazi yeyote halali
Asiwe Muhaya
Elimu kuanzia la saba
Sifa zangu;
Mimi ni mwanadada nina degree moja
Naishi Dar
Najielewa na natambua majukumu yangu
Umri 30
Kama yupo yeyote naomba aje inbox
hahahahaaaHiki kigezo cha urefu kinanikosesha mke kwa mara nyingine tena.
Hivi akiwa mfupi hafikii jamani? Mambo gani haya...