Natafuta mume kuanzia 33-45

Natafuta mume kuanzia 33-45

Hiki kigezo cha urefu kinanikosesha mke kwa mara nyingine tena.
Hivi akiwa mfupi hafikii jamani? Mambo gani haya...

FB_IMG_1525699971247.jpg
 
Dada ulishapata tayari?km bado tuchekiane,
Am nt joking
 
Nimechoka na upweke.
Natafuta mwanaume aliye serious kabisa kujenga maisha.

Sifa zake;
Mrefu
Awe anajishughulisha na kazi yeyote halali
Asiwe Muhaya
Elimu kuanzia la saba

Sifa zangu;
Mimi ni mwanadada nina degree moja
Naishi Dar
Najielewa na natambua majukumu yangu
Umri 30
Kama yupo yeyote naomba aje inbox
22 vp mkuu?
 
Nimechoka na upweke.
Natafuta mwanaume aliye serious kabisa kujenga maisha.

Sifa zake;
Mrefu
Awe anajishughulisha na kazi yeyote halali
Asiwe Muhaya
Elimu kuanzia la saba

Sifa zangu;
Mimi ni mwanadada nina degree moja
Naishi Dar
Najielewa na natambua majukumu yangu
Umri 30
Kama yupo yeyote naomba aje inbox
Sasa dada kwani wanaume wa kihaya wana shida gani mbona huwataki.
 
huyu dada atakuwa na sura ya kinyago. 33 hujawa approached, badala yake unaweka tangazo? no serious man will ever heed to your ad; kamtafute kwenye madanguro
 
Na mim natafuta mtoto manye umri wa miak 20 na mim nina 20 tutengeneze maisha
 
Hiki kigezo cha urefu kinanikosesha mke kwa mara nyingine tena.
Hivi akiwa mfupi hafikii jamani? Mambo gani haya...
Mwambie utatumia stuli kuifikia papuchi vinginevyo anataka uwe basket baller kwake
 
Kama unakubali kufanya vise verse mimi nichukue hiyo degree wewe uishi ki la saba. Tufanye mazungumzo. Pm
 
Back
Top Bottom