Natafuta mume mcha Mungu

Kama hutojali nkuje inbox vigezo tutajuana hukohuko
 
Mu adventista unakwama wapi, unashindwa kumuomba yesu anibadilishe niache bangi na pombe then upate mume bora?? Maana vigezo vyote unavyohitaji ninavyo isipokuwa kwenye utumiaji wa vilevi.
 
Ukiwa tayari nicheki nikuunge na ndugu angu..
Yeye umri: 50
Elimu : Mwalimu
Dini :Muslim..
Ukiwa serious lakini.
 
Asipo kuelewa ataelewa siku akiwa kaburini
 
Nahisi bado hujawa tayari ya kutafuta mume atakaekusitiri. Nadhani Unatafuta bwana wa kusongesha maisha
 
WWw
We ni dini gani
 
Wacha Mungu wapo omba dua kwa mola wako
 
Inaonekana hata na ww huna hizo sifa, maana unatafuta mtu uyo kwenye sehemu isiyo sahihi, nenda kanisani au msikitini.
 
Be God and create your own preference.
 
Mume mwema mcha Mungu nipo hapa hivyo vigezo vingine vyote naona na fit kabisa fanya tuwasiliane.
 
Mwanamke akishaajiriwa anapoteza unyenyekevu kabisa. Kwa maelezo hayo mtu anaelewa Wewe Ni wa Aina gani
 
Huyo tayari unaye kwenye " imagination yako" unamtafutaje Tena huku nje?...Just create your reality
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…