begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
nenda kwenye makanisa ya wa adventista,wasabato ndo wanapatikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri sahihi huo. Akichelewa hapo baadae hamkawii kusema alivyokuwa binti alikuwa anaringa kuolewa.Kwa kweli ni mdogo, sijui hio pressure kaitoa wapi? Au kaona wenzie wakiolewa?
Kwa ugumu huu wa maisha wapo kweli wasio na hasira,labda wahindi....Kama kichwa kinavyojieleza natafuta mme mwenye hofu ya Mungu, awe na sifa zifwatazo:
Asiwe mwenye kutumia bangi, sigara au kilevi chochote.
Awe mwenye urefu kwanzia 5.9ft kuendelea
Awe msomi angalau kuanzia Diploma
Awe maji ya kunde au mweusi
Awe na chanzo halali cha kujipatia fedha
Awe na umri kwanzia 27 mpaka 34
Asiwe na mtoto
Asiwe mnene sana au mwembamba sana
Awe mwadventista msabato.
Kabila lolote lile sawa, kikubwa pia awe mwenye upendo wa dhati na awe mpole.
Sifa zangu:
Nina miaka 24, nipo Dar, elimu yangu ni Bachelor Degree, nimeajiriwa Serikalini kwa sasa, mwonekano wangu nina urefu wa 5.5ft mwili wa kawaida, mweupe kwa rangi.
Note
Kama hukidhi vigezo please usije DM
Ni umri sahihi ila Sio wa kutafuta mwanaume mitandaoni, Huku kny mitandao ni kwa sisi mashangaziUmri sahihi huo. Akichelewa hapo baadae hamkawii kusema alivyokuwa binti alikuwa anaringa kuolewa.
Asante Dada kwa ushauri wakoAll the best dear.Ila nakushauri tu ,mwombe Mungu akupe ubavu wako ,unaweza kupata huyo uliyeweka sifa zake hapo akawa "kizunguzungu" chako.Nilikuwa kama wewe natafuta rafiki/mume kwa vigezo lukuki baadaye nikajiuliza mimi ninavyo wanavyotaka watu ? au na mimi najichora tu.Mwishoni nikasema Mungu nisaidie nipate mtu /ubavu wangu.Kweli Mungu alinijibu akanipa mwanaume siwei kumwelezea japo kwa wakati huo hakuwa na sifa zote nilizokuwa nazo kichwani nyingine nilizitengeneza /tulizitengeneza pamoja na hata nikiambiwa nimchangue tena na tena nitamchagua yeye tu .Ushauri wangu tu based on my own experience.
Mshangazi mamboNi umri sahihi ila Sio wa kutafuta mwanaume mitandaoni, Huku kny mitandao ni kwa sisi mashangazi
Tulia kijana, siku hizi dunia imebadilika..wanaume tumegeuka almasi, tunatafutwa...neno la Isaya lazima litimie...soma 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇Miaka 24 unasaka wanaume mitandaoni? 😳😳😳
masharti mengi wanawake sampuli yk mnamasharti hadi kwenye utoa uroda..!Kama kichwa kinavyojieleza natafuta mme mwenye hofu ya Mungu, awe na sifa zifwatazo:
Asiwe mwenye kutumia bangi, sigara au kilevi chochote.
Awe mwenye urefu kwanzia 5.9ft kuendelea
Awe msomi angalau kuanzia Diploma
Awe maji ya kunde au mweusi
Awe na chanzo halali cha kujipatia fedha
Awe na umri kwanzia 27 mpaka 34
Asiwe na mtoto
Asiwe mnene sana au mwembamba sana
Awe mwadventista msabato.
Kabila lolote lile sawa, kikubwa pia awe mwenye upendo wa dhati na awe mpole.
Sifa zangu:
Nina miaka 24, nipo Dar, elimu yangu ni Bachelor Degree, nimeajiriwa Serikalini kwa sasa, mwonekano wangu nina urefu wa 5.5ft mwili wa kawaida, mweupe kwa rangi.
Note
Kama hukidhi vigezo please usije DM
KilalakheriAwe mwadventista msabato.
Anita Makirita ndg yangu jana hujasoma kuwa kuna mwanafunzi huko kusini ana 12 tu kawekwa ndani na mwanaume anapokea posho za kiume na haumii?Kwa kweli ni mdogo, sijui hio pressure kaitoa wapi? Au kaona wenzie wakiolewa?
Chukua huu ushauri tena jitangaze pale Mbele kabisa ili iwe rahisi km kuna kijana mchamungu ana upirwu wake wa mda mrefu akuvutie waya kirahisi kabisanenda kwenye makanisa ya wa adventista,wasabato ndo wanapatikana
Ulitaka awe lishangazi ndio atafute hujui upwiru unamtesa hapoKwa kweli ni mdogo, sijui hio pressure kaitoa wapi? Au kaona wenzie wakiolewa?
Sijakataa Huyu dada kuolewa na umri wake, Ila kutafuta mtandaoni ni dalili ya kuwa desperate na desperation ni kwa mashangazi na watu tayari labda wameumizwa…wazoefu wa mahusiano, Kwangju mimi miaka 24 anapata mchumba vizuri tu mtaani ….Anita Makirita ndg yangu jana hujasoma kuwa kuna mwanafunzi huko kusini ana 12 tu kawekwa ndani na mwanaume anapokea posho za kiume na haumii?
Ikiwa binti anaanza kupelekewa moto at the age of 12 of age, akiwa 24 si tayari ni mzee?
Uume unazeesha ukianza kuuchezea maprma kwa mabinti, so 24yrs hapo yawezekana kapita sana...sina hakika.
Na siku hizi mnisamehe lkn mabinti wakiona mtaani kumechacha...wanakimbilia kanisani, wanataka nume mwenye hofu ya Mungu...halllooo, Mungu anafanywa kama ccm, hii haiko sawa