Natafuta mume mcha Mungu

Natafuta mume mcha Mungu

mke nataka sana illa nilishampata Aaliyyah sema nae ndio hivyo anajivuta kuchangia mifuko ya cement tumalizie gheto tuhamie.
naona yule ex wake atakuwa bado anamsumbua akili
😀😀Kwaiyo had nichangie mifuko ya cement iyo itakuwa ndoa au kikundi Cha vikoba 😂😂
 
😀😀Kwaiyo had nichangie mifuko ya cement iyo itakuwa ndoa au kikundi Cha vikoba 😂😂
wewe changia sasa sii maendeleo yetu wenye bby mbona unakuwa mgumu hivyo sasa na hela yako. kweli siku naumwa wewe sii unaweza sema hutaki kutoa hela ya matibabu hahaha.
nkoo wee toa hela ya mifuko 20 ya cement matofali nilishanunua yapo site
 
Nipo hapa dodoma sifa zote zipo sema posho sina
 
Kama kichwa kinavyojieleza natafuta mme mwenye hofu ya Mungu, awe na sifa zifwatazo:
Asiwe mwenye kutumia bangi, sigara au kilevi chochote.
Awe mwenye urefu kwanzia 5.9ft kuendelea
Awe msomi angalau kuanzia Diploma
Awe maji ya kunde au mweusi
Awe na chanzo halali cha kujipatia fedha
Awe na umri kwanzia 27 mpaka 34
Asiwe na mtoto
Asiwe mnene sana au mwembamba sana
Awe mwadventista msabato.
Kabila lolote lile sawa, kikubwa pia awe mwenye upendo wa dhati na awe mpole.

Sifa zangu:
Nina miaka 24, nipo Dar, elimu yangu ni Bachelor Degree, nimeajiriwa Serikalini kwa sasa, mwonekano wangu nina urefu wa 5.5ft mwili wa kawaida, mweupe kwa rangi.

Note
Kama hukidhi vigezo please usije DM


nakushauri uende kule wenye sifa hizo waliko. Mfano, jitaihid kuhudhuria ibada na makambi ya kisabato. Jitahidi uwe unasali na unaenda kanisani ni muda sasa
 
All the best dear.Ila nakushauri tu ,mwombe Mungu akupe ubavu wako ,unaweza kupata huyo uliyeweka sifa zake hapo akawa "kizunguzungu" chako.Nilikuwa kama wewe natafuta rafiki/mume kwa vigezo lukuki baadaye nikajiuliza mimi ninavyo wanavyotaka watu ? au na mimi najichora tu.Mwishoni nikasema Mungu nisaidie nipate mtu /ubavu wangu.Kweli Mungu alinijibu akanipa mwanaume siwei kumwelezea japo kwa wakati huo hakuwa na sifa zote nilizokuwa nazo kichwani nyingine nilizitengeneza /tulizitengeneza pamoja na hata nikiambiwa nimchangue tena na tena nitamchagua yeye tu .Ushauri wangu tu based on my own experience.
Hallelujah [emoji119]

Ubarikiwe Dada.
Hii comment ni funzo kwa mabinti wengi tuliopo hapa ndani.

Ni kuomba Mungu atupe lililo fungu alilotupangia.
 
Umri ulio nao ni sahihi kabisa umebakisha miaka 5 na miezi kadhaa kugonga 30 mrembo jitahidi sana kuwa flexible kwenye vigezo. Urembo unaenda na kuisha

Kwenye hiyo miaka 5 uliyobakisha kabla ya kufika 30 kuna mahusiano ambayo mnaweza kwenda mwaka 1 mkashindwana.

Kwa hiyo njia haiko straight wengine wanataka tu kusuuza rungu na kusepa kumbuka umri haukusubiri

Ushauri wangu kwa akina dada wanaotafuta wenzi; Ukipata mwanamume anajielewa anaingiza kipato yuko siriaz nawe fanya naye maisha bila hivyo utachina kitaa

Kila la kheri
 
Kama kichwa kinavyojieleza natafuta mme mwenye hofu ya Mungu, awe na sifa zifwatazo:
Asiwe mwenye kutumia bangi, sigara au kilevi chochote.
Awe mwenye urefu kwanzia 5.9ft kuendelea
Awe msomi angalau kuanzia Diploma
Awe maji ya kunde au mweusi
Awe na chanzo halali cha kujipatia fedha
Awe na umri kwanzia 27 mpaka 34
Asiwe na mtoto
Asiwe mnene sana au mwembamba sana
Awe mwadventista msabato.
Kabila lolote lile sawa, kikubwa pia awe mwenye upendo wa dhati na awe mpole.

Sifa zangu:
Nina miaka 24, nipo Dar, elimu yangu ni Bachelor Degree, nimeajiriwa Serikalini kwa sasa, mwonekano wangu nina urefu wa 5.5ft mwili wa kawaida, mweupe kwa rangi.

Note
Kama hukidhi vigezo please usije DM
Hello naomba tuyajenge
 
Hapo kwenye rangi ya ngozi na usabato ndio pamenichania mkeka
 
Dah. Maelezo kama unaongea na chief cooker akupatie mashed potatoes with fish fillet scambled vegetables. Ije na watermelon juice garnished by orange.

Nakushauri usitafute mpenzi au mume au hata rafiki kupitia mitandao ya kijamii.

Onana na watu wajue vizuri. Pia usianike vigezo vyako.
 
Back
Top Bottom