Duuh!!! Ivuga naona hii salamu ya jumamosi hii. 😀😀Mambo bebi
Ukiona huna uwezo wa kumtenegeneza mwanaume ujue huna sifa ya kuolewa aisei.
Nipo mzima mshkaji wangu kama chuma
SawasawaUkiona huna uwezo wa kumtenegeneza mwanaume ujue huna sifa ya kuolewa aisei.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu anajipendekeza kwa mademu wetu hapaKumbe unamjua mkuu Huyo inzi??
Sent by IPhone
Mdogo wangu mambo vipi???Kwan sisi masingo hamtuoni au dharau
Apiaa!!!!...Basi tuyajenge nikutengeneze [emoji1787][emoji1787][emoji1787] bigmind nami nimepata wa kumtengenezaTena nilivokuwa nakutamani kitambo[emoji1787][emoji1787] sema hujui tu.
Kwema kaka hali vipi.?Mdogo wangu mambo vipi???
No thank you. Natania tu..Subiri nikiweka tangazo ulete maombi yako
Njoo kwangu...ila usiwe umezaa.....huku mimi nina watoto wawili.....he he heeee!
Ningekuja kwako..tatizo umezaa..sitaki lawama za watoto wakamboNjoo kwangu...ila usiwe umezaa.....huku mimi nina watoto wawili.....he he heeee!
Wee njoo watoto wanakaa na mama yao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekumbuka waliozaa hawaachaniWee njoo watoto wanakaa na mama yao
Thubutuu...! Sa hv si tungekua tumerudiana....em njoo PM tulijadili hili[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekumbuka waliozaa hawaachani
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nisubiri nakujaThubutuu...! Sa hv si tungekua tumerudiana....em njoo PM tulijadili hili
Swafi tu, naona wanakutengaKwema kaka hali vipi.?